DOKEZO Sukari inauzwa madukani Tukuyu ikiwa haina maandiko yoyote, haija ‘expire date’ wala utambulisho kuwa inatoka wapi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
et wanavyotiririka humu , mkuu umenifurahisha.
 
Je, unafahamu kwamba Serikali ya Tz na Serikali ya Malawi Zina mgogoro wa mpaka ktk Ziwa Nyasa/Ziwa Malawi?Vipi kama Malawi itaamua kuanzisha Opereshenie ya Siri na ya kimya kimya ktk kutatua mgogoro huo 'kwa kutumia mbinu za medani' huku 'sukari' hiyo ikitumika kama silaha yake??? Je, wananchi watawezaje kuepushwa na janga la namma hii ikiwa sukari yenyewe inaingizwa kwa magendo kwa kupitia 'njia za panya???????
 
Daah aisee Wanasiasa hao hapo Karonga Watanzania wamejaa hapo na wanaongea kinyakyusa tu...
 
Ishu sio kukolea ishu usalama wako kiafya. Acha kufakamia. Sheria za usalama wa bidhaa ziko wazi utajua vipi tarehe ya ku expire kama haijaandikwa chochote? Tafakari
Kwanza 'ingredients' au 'components' zilizopo kwenye hiyo sukari wanazijua????Hiyo sukari ni ya aina gani kwanza?Kwa sababu zipo sukari za aina nyingi sana hapa duniani.
TBS inapaswa ku-intervene haraka sana huko mpakani ili kunusuru afya za watu ktk nchi hii.
 
Poleni na hatari sana...


Cc: Mahondaw
Yeah ni hatari sana hio.
Hivi hata za madukani wabongo tuna muda wa kukagua lebo zao kweli????? Au zile za kupima tu tukishapimiwa hatuna habariiiiiiii sie haoooo🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️ kutumia hatuna habariiiiiii!😊😊
Ni hatari lo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…