Je, unafahamu kwamba Serikali ya Tz na Serikali ya Malawi Zina mgogoro wa mpaka ktk Ziwa Nyasa/Ziwa Malawi?Vipi kama Malawi itaamua kuanzisha Opereshenie ya Siri na ya kimya kimya ktk kutatua mgogoro huo 'kwa kutumia mbinu za medani' huku 'sukari' hiyo ikitumika kama silaha yake??? Je, wananchi watawezaje kuepushwa na janga la namma hii ikiwa sukari yenyewe inaingizwa kwa magendo kwa kupitia 'njia za pants.'??????