Sukari, mchele ni kama dhahabu nchini Burundi. Tuchangamkie fursa

Sukari, mchele ni kama dhahabu nchini Burundi. Tuchangamkie fursa

Kajisomeeni kuhusu sugar beet (viazi maalumu kwa kutengeneza sukari) ambapo wazambia wao walishaingia kwenye teknolojia hiyo muda mrefu sana ndio sababu hauwezi kusikia kwao sukari imekua adimu
Kama iko hvyo basi Bakhresa pale bagamoyo kitatengeneza hiyo sukari na walisema kitasupply E.Africa nzima
 
Kuna sukari ya bakhresa nimenunua juzi Iko vizuri kuliko iletuliyoizoea Kwa hiyo inatokana na sugar beets
 
Kwamba huko asali ni bei rahisi kuliko sukari mpkaka wanaamua kutumia asali kama mbadala wa sukari?
 
Back
Top Bottom