Sukari ya Uganda sawa, korosho zetu vipi? Kwahiyo jibu la waziri lilikuwa nonsense!

Nasikia hakuna kitu kinachoendelea huko bwawani mpaka muda huu. Ni bonge la hujuma kwa Nchi. Na ndiyo maana aliwekwa marope maana anaaminika kwa fitna. Tutakutana nao 2025.
 
Muunde task force ya kulazimisha watu wanunue hizo bidhaa. Mnafikiria kuwa na task force za kufilisi watu tu kwa kuwadai wasichodaiwa? Hii kazi ni ya kwenu. Ile nyingine mliojipa ni dhulumati.
Mama akaipiga chini, tunaendeleza maisha
 
Waganda ni corrupt state na nimeona mwingine anauza senene Ndani ya drimu laina
 
Duuh 🤣

Sawa kwa kuwa sukari si bidhaa ya umuhimu kwako.....
Ongeza ufahamu. UMewahi sikia njaa nchini kwa sababu ya ukosefu wa sukari TZ hii? Ulaya inatokea maana ni walaji mikate. Wewe pambana na ugali na magimbi.
 
Ongeza ufahamu. UMewahi sikia njaa nchini kwa sababu ya ukosefu wa sukari TZ hii? Ulaya inatokea maana ni walaji mikate. Wewe pambana na ugali na magimbi.
Kwa hiyo ufahamu wako ni kuwa Tanzania hatuli mikate?!!!

Ya kwamba BEKARI za kisasa na BUBU si biashara yenye kuingiza kipato ?!!!

Ya kwamba mijini hatuli maandazi ,kalimati na keki?!!!

Acha ufinyu wa fikra.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…