Sukari ya warembo hapo vipi!!!!!!!!

Heaven on Earth

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
37,226
Reaction score
26,687
Ni gossip za hapa na pale wakati tukiendelea na majonzi ya msanii mangwair..,





duh kuna watu ni wapekuzi
 
this is beyonds gossip duh bongo kazi kweli kweli.
 
Wanajibbm na kujiwatsup as if they aint in a funeral...so sorrowful
 
Ebu tujuze basi,maana hiyo picha kama naielewa af siielewi vile,ebu tiririka mrembo
 
Bwa chuchu nimekupenda bureeee,eti amepata hedhi yake mwezi huu??,aaah aaah dah u made my made bro
 
Wanafanya mawasiliano na warembo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ninachoona mimi Diamond amekaa kwa nidhamu ila walio around wapo busy na simu zao, na hata alipolazimika kutumia simu ameinama tofauti na wenzake. Kwangu Diamond yupo ok.
 
jamaa bana kwani huwezi kwenda kwenye msiba hujavaa vipini na viduku ......hamna mazingatio ya msiba kabisa hapo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…