Sukari ya warembo hapo vipi!!!!!!!!

Sukari ya warembo hapo vipi!!!!!!!!

sijaona shida yoyote, ukiwa kwenye msiba ndo simu isiguswe? au usipendeze? jamani huyu ni public figure asipovaa vizuri tutamponda
 
sijaona shida yoyote, ukiwa kwenye msiba ndo simu isiguswe? au usipendeze? jamani huyu ni public figure asipovaa vizuri tutamponda


yeye ni rais wa wasafi na kupendeza ni moja ya character zake
wala hatuna shida na kunyuka pamba kwake!!!!!!!

unahitaj jicho la 3 kujua tunachoongelea hum ndani
 
Aaaah aaah samahani lakini,mi napita tu heaven on earth,ila zingatia aliyoyasema bwa chuchu,ni hayo tuuuuui....nimemalizaaaa
 
Ni gossip za hapa na pale wakati tukiendelea na majonzi ya msanii mangwair..,

MWAIPOPO+048.JPG


8.JPG


duh kuna watu ni wapekuzi

afu mwambie Domond avae 'car wash' kwa ndani
 
yeye ni rais wa wasafi na kupendeza ni moja ya character zake
wala hatuna shida na kunyuka pamba kwake!!!!!!!

unahitaj jicho la 3 kujua tunachoongelea hum ndani

nimetumia hilo jicho la tatu kutokana n picha na comments za watu labda unidadafulie picha zenu zimelenga kitu gani hasa
 
Tatizo ni hao aliokaa nao hawana hadhi na yeye au???
 
Basi ingekuwa vizur kama ungetusaidia kwa wew uliyeona hlo jicho la tatu,maana woote tumeishia jicho la pili
 
Back
Top Bottom