Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same to you dadaNiwatakie mapumziko yenye furaha na raha tele baada ya mchakamchaka wa wiki nzima....
Huwa natamani tufahamiane nje ya hapa jf,, sijui kwa kuwa wewe ni mwanamke,, labda na avater inanivutia.Niwatakie mapumziko yenye furaha na raha tele baada ya mchakamchaka wa wiki nzima....
Huwa natamani tufahamiane nje ya hapa jf,, sijui kwa kuwa wewe ni mwanamke,, labda na avater inanivutia.
Ila naamini kuna siku tutaonana mkuu.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Vijana wa kiume kwa wa kike tubuni na acheni uzinzi maana ufalme wa Mungu unakaribia!🗣️Hebu muulize jirani yako hapo ni ipi
Hahaha basi babu nishaacha ukuda.Sasa umeanza kuharibu. Tukiachana bibi yako atakuwa mpweke... au utamuoa wewe?
Baba D akiwahi kuja kujibu👇😁😁😁
View attachment 2059626
Nimefunga ndoa kabisa Krismasi hii👇😁😁😁
View attachment 2059632