Sukuma liwe kabila tambulishi la mtanzania

kabila la kishamba kama hilo limwakilishe nani? hadi wamasai wamewazidi ujanja. seriously ningekuwa msukuma ningebadilisha kabila.
🤣🤣🤣We utakuwa mndengereko wewe sio bure
 
Kwani Joannah uko wapi jmni?
Mbona hayo unoyasema na mm nimeyaona jana
Tutakuwa Kijiji kimoja Aisee😁😁😁Sema Nini mi ndio nachomoka
 

Asante sana,umwtuheshimisha mchakato upelekwe bungeni kwa hati ya dharura,wabeja sana.
 
Hahaha usinivunje mbavu
 
Umemaliza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…