Suleiman Bungara (BWEGE) Mbunge wa Kilwa Kusini: "Kwaheri CUF, hodi ACT Wazalendo"

Suleiman Bungara (BWEGE) Mbunge wa Kilwa Kusini: "Kwaheri CUF, hodi ACT Wazalendo"

ndanda masasi

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
772
Reaction score
1,177
Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini Mhe.Selemani Bungara (Bwege) ametangaza kukihama chama Cha Wananchi Cuf na kuhamia chama cha ACT Wazalendo azalendo mara baada ya bunge kuvunjwa hapo kesho.



---

Ifahamike kuwa, nimeitumikia nafasi ya uwakilishi wa wananchi kwa maana ya ubunge wa Kilwa Kusini kwa vipindi viwili mfululizo kupitia CUF Chama cha wananchi, hivyo sina budi kukishukuru chama changu kwa kunifikisha hapa nilipo na naahidi hapa kuwa sitokisahau kamwe katika maisha yangu yote.

Niliipenda, kuipigania na kuitetea CUF Jimboni kwangu Kilwa Kusini, majimbo mengi ya Kusini na kwingineko Tanzania kwa moyo wangu wote.

Niliipenda sana CUF kwa mapambano yake ya kupigania HAKI SAWA KWA WOTE. Ninasikitika sana kuwa CUF ya sasa imeacha mapambano hayo yaliyoijengea heshima na imani kubwa ya wananchi.

Hivyo basi, ninawatangazia rasmi Watanzania wote kuwa Bunge likimaliza muda wake nitajiunga na ACT Wazalendo.

Nimejiridhisha kuwa ACT Wazalendo ni jahazi sahihi la kupigania demokrasia, haki na maendeleo ya Watanzania.

Suleiman Bungara (Bwege), Mbunge wa Kilwa Kusini.

Bwege.jpg
 
Ifahamike kuwa, nimeitumikia nafasi ya uwakilishi wa wananchi kwa maana ya ubunge wa Kilwa Kusini kwa vipindi viwili mfululizo kupitia CUF Chama cha wananchi, hivyo sina budi kukishukuru chama changu kwa kunifikisha hapa nilipo na naahidi hapa kuwa sitokisahau kamwe katika maisha yangu yote.

Niliipenda, kuipigania na kuitetea CUF Jimboni kwangu Kilwa Kusini, majimbo mengi ya Kusini na kwingineko Tanzania kwa moyo wangu wote.

Niliipenda sana CUF kwa mapambano yake ya kupigania HAKI SAWA KWA WOTE. Ninasikitika sana kuwa CUF ya sasa imeacha mapambano hayo yaliyoijengea heshima na imani kubwa ya wananchi.

Hivyo basi, ninawatangazia rasmi Watanzania wote kuwa Bunge likimaliza muda wake nitajiunga na ACT Wazalendo.

Nimejiridhisha kuwa ACT Wazalendo ni jahazi sahihi la kupigania demokrasia, haki na maendeleo ya Watanzania.

Suleiman Bungara (Bwege), Mbunge wa Kilwa Kusini.

15 Juni 2020.
 
Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Selemani Bungara (Bwege) ametangaza kukihama Chama Cha Wananchi Cuf na kuhamia Chama cha ACT Wazalendo mara baada ya bunge kuvunjwa hapo kesho.

“Ninawatangazia rasmi kuwa likivunjwa Bunge tu mimi sio tena mwanachama wa CUF karibuni ACT Wazalendo.”
 
Ngoja nikae pembeni nione pande zinazo sifia au kuponda uwazi wa bwege
 
... naona kaamua kumfuata Maalim; hatari sana hii kumtegemea mtu.
 
Purukushani nguo kuchanika zinaanza kesho kutwa,ndio mtajua Tanzania chama cha siasa ni kimoja tu CCM zingine saccos za watu.
 
Back
Top Bottom