Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei zake zipoje, nitajie bei.Kampuni ya alshababi ukikuta perfume usipepese macho chukua iyo perfume nzuri sana inakaa sana tena kama upo dsm niambie uoo nikuletee maana ndio biashara yangu ya perfume kuna aina nyingi za perfume za alshabai
Sultan alshabab
Majid alshabab
Dar alshabab
Darhae alshabab
Zote hizo ni vyuma
Nipo mrejesho bro. Una kumbuka nilikuiga kwenye 'Blue for Men'Ahh safi mkuu
Hizo bei yake 28k mm nakaa kimaraBei zake zipoje, nitajie bei.
Upo wapi, mie nipo ubungo
Ukiwa fresh niambie nikuletee al shabab perfume nzuriBei zake zipoje, nitajie bei.
Upo wapi, mie nipo ubungo
Nipo mrejesho bro. Una kumbuka nilikuiga kwenye 'Blue for Men'
Hainukii udi hiyo bro mana wengn tunaish wake zetu wana maruani ya harufu kali [emoji23]Hizo bei yake 28k mm nakaa kimara
Haninukii udi boss ina ka harufu nzuri kweli hasa ikishapoaaHainukii udi hiyo bro mana wengn tunaish wake zetu wana maruani ya harufu kali [emoji23]
Dodoma zinapatikana?Kampuni ya alshababi ukikuta perfume usipepese macho chukua iyo perfume nzuri sana inakaa sana tena kama upo dsm niambie uoo nikuletee maana ndio biashara yangu ya perfume kuna aina nyingi za perfume za alshabai
Sultan alshabab
Majid alshabab
Dar alshabab
Darhae alshabab
Zote hizo ni vyuma
Mkoani natumaDodoma zinapatikana?
Vp hii blue for men.. Iko poa eeh..?Nipo mrejesho bro. Una kumbuka nilikuiga kwenye 'Blue for Men'
Mkuu, nipo Moro.. Napataje au una branch hapa..?Ukiwa fresh niambie nikuletee al shabab perfume nzuri
iko poa sema sikuipenda sana maana wasichana walikua hawanisifii hata kidogo.Vp hii blue for men.. Iko poa eeh..?
[emoji23][emoji23] kama unaTKa wakusifie chukua pafyum ya magneticiko poa sema sikuipenda sana maana wasichana walikua hawanisifii hata kidogo.
Bro nakumbuka uliniig kweny blue for men, naomba uniige kwa kuchukua MAGNETIC hakika hutojutia bei yake inatofautiana madukana wengine 30, 35 mwisho 40 haizid hapo.iko poa sema sikuipenda sana maana wasichana walikua hawanisifii hata kidogo.