Sultan wa Oman aingia Mombasa!

Sultan wa Oman aingia Mombasa!

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,567
Delegation toka sultan wa Oman, ikiwakilishwa na H.E Mohammed Bin Hamad Al Ruhmy imetinga mombasa hiyo Jana, baada ya kuwasili walipokelewa na sultan wa Mombasa bwana Ali hassan Joho.
Agreements kadhaa ziliafikiwa baina ya pande zote mbili ikiwa ni pamoja na waomani kujenga logistics hub yao hapo mombasa. Nyingine ikihusisha fursa za ajira kwa wakenya huko Oman na exchange programs Kati ya vyuo vikuu vya Oman na kenya.
FB_IMG_1508768381356.jpg
FB_IMG_1508768375774.jpg
FB_IMG_1508768365733.jpg
FB_IMG_1508768360585.jpg
FB_IMG_1508768225547.jpg
FB_IMG_1508768220138.jpg
FB_IMG_1508768204906.jpg
FB_IMG_1508768214860.jpg
 
Heading yako imejaa upotoshaji,sultani wa oman ni Qaboos,simwoni hapo kwenye picha zote
 
Afu muwe makini maana hao Oman ndio hudai Mambasani ilikua yao tangu enzi zileee, waje wawekeze lakini wasianze zile stori.
Huwa wamewekeza sana pale Zenji.
 
See the difference kati ya Dar na mombasa????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji26][emoji26][emoji26]
 
See the difference kati ya Dar na mombasa????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji26][emoji26][emoji26]
You do realise that meeting happened inside the ship owned by the Oman's, right?
 
watanzania washenzi kabisa...eti mnashangilia rekodi ya kuwa nchi ya kwanza ile meli kutua?😱😱😱😱😀😀😀😀sasa hio itawasaidia vipi?😀😀😀
 
duh! Sultan amng'ara kweli..ila sielewi mbona wale jamaa hawakutua nchini...kwani wanaogopa??
 
See the difference kati ya Dar na mombasa????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji26][emoji26][emoji26]
We kijana wa mathare huko ni ndani ya meli ya muarabu sio Mombasa acha ushamba sababu unazani humo ndani ni nyumba hiyo.

Hivi huu ushamba wakenya utawaisha lini?
 
You do realise that meeting happened inside the ship owned by the Oman's, right?
Unfortunately that is wrong, about all those views are from the ship that's shocking and bigger surprising to him, sadly he thinks that is a certain hotel in Mombasa wakenya ni malimbukeni wa KUTUPWA
 
Unfortunately that is wrong, about all those views are from the ship that's shocking and bigger surprising to him, sadly he thinks that is a certain hotel in Mombasa wakenya ni malimbukeni wa KUTUPWA
Haha, amechemsha
 
Haha aisee waswahili mbona povu nyingi hivi mazee, Mara ooh meli, sijui oooh qaboos hatumuoni Mara hapo sio Mombasa? [emoji3] [emoji3]
Mtulie tu dose iingie taratibu tu,[emoji382] wa oman walikuja hapo kwenu badala ya kufanya deals nao mkaishia kuwakenulia magego eti ndio undugu! [emoji191]
 
Afu muwe makini maana hao Oman ndio hudai Mambasani ilikua yao tangu enzi zileee, waje wawekeze lakini wasianze zile stori.
Huwa wamewekeza sana pale Zenji.
Visiwa vya Unguja na Pemba na 10-miles coastal strip from the border between Kenya and Somalia to the border between Tanzania and Mozambique ilikuwa mali ya Sultan. Let's trust hayuko kwenye harakati za kufufua mikataba ya zamani.
 
Back
Top Bottom