#COVID19 Suluhisho dhidi ya kuchochea maambukizi ya Covid-19 nyakati za usaili wa kazi

#COVID19 Suluhisho dhidi ya kuchochea maambukizi ya Covid-19 nyakati za usaili wa kazi

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,832
Reaction score
2,390
Tatizo la ajira nchini linazidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kuenda.

Uthibitisho wa hili ni idadi ya waomba kazi ikilinganishwa na nafasi zilizotangazwa.

Sekretarieti ya ajira imekuwa ikiita watu kwenye usaili Dodoma na Dar es Salaam.

Idadi hii ni kubwa sana kama wahusika wote watajitokeza. Matokeo yake ni;
  1. Kuchochea maambukizi ya corona kipindi hiki ambacho nchi inakaribiwa na wave ya tatu.
  2. Kuwapa gharama wahusika ambapo idadi ni kubwa sana kwenye baadhi ya nafasi zinafikia ratio ya 1 kwa 200 kati ya nafasi na waombaji.
Suluhisho.
  • Serikali itengeneza vituo vya mitihani hii hasa kwenye hatua ya oral katika mikoa au kanda fulani. Yule anayejazama awe na option ya kusema atafanyia wapi usaili. Anaweza akachagua baada ya kuwa shortlisted kwa usaili. Vituo hivi viwe vimeunganishwa kwa teknolojia . Yaani mitihani ifanywe online kwenye computer na wasimamizi ndio wasafiri.
  • Kwa hali ya sasa na watu walioitwa wahusika wakumbuke kujikinga na kuwakinga watahiniwa na maambukizi ya virusi vya corona. Kuwe na utaratibu wa upatikanaji wa barakoa kwa ambao hawana na vitakasa mikono viwepo pia.
 
Hivi mnajua wave ya 3 tulishaipita zamani na mwendazake, inawezekana tupo hata wave ya 5, hayo masuala ya wave yanaongelewa sasa hivi ili kurahisisha utoaji wa takwimu ili kuleta mikopo na chanjo🤣🐒🤸
 
Shida sio Corona ila pesa ya kusafiri mbali kufata interview nafasi yenyewe moja, tuwe wa kweriiiiiii😀😀
 
Shida sio Corona ila pesa ya kusafiri mbali kufata interview nafasi yenyewe moja, tuwe wa kweriiiiiii😀😀
Hiyo ela ya bora utumie betting maana ukitandika mkeka vizuri inarudi, unasafiri ulale kwenye lodge halafu nafasi yenyewe probability 1/100,000🤣
 
Shida sio Corona ila pesa ya kusafiri mbali kufata interview nafasi yenyewe moja, tuwe wa kweriiiiiii😀😀
Cha msingi ni kuwe na mfumo mikoani ili usaili ufanyike mikoani. Ubunifu ni muhim kuokoa gharama
 
Cha msingi ni kuwe na mfumo mikoani ili usaili ufanyike mikoani. Ubunifu ni muhim kuokoa gharama
Ni kweli boss, wangefanya hata hatua ya written iwe online, oral ndo watuite angalau.
 
😀😀😀😀😀
Hiyo ela ya bora utumie betting maana ukitandika mkeka vizuri inarudi, unasafiri ulale kwenye lodge halafu nafasi yenyewe probability 1/100,000🤣
😀😀😀
 
Back
Top Bottom