Kheri ya mwaka mpya kwa wafugaji wote.
Kumekuwa na changamoto nyingi wanazopitia wafugaji hususani kipindi cha kuanza ufugaji wao wa mara ya Kwanza. Changamoto hizi huchangiwa na kutokuwa na elimu sahihi ya ufugaji au taarifa sahihi kuhusu ufugaji.
Haya yote husababisha mfugaji huyu kupoteza kuku kutokana na kutochukua hatua sahihi na kupelekea wengi kukata tamaa na ufugaji wa Kuku.
Kutokana na changamoto hizi tumekuja na utaratibu maalum ambao utamnufaisha kila mfugaji atayenunua vifaranga wa Kuku chotara kutoka kwetu.
Kila mfugaji atayenunua vifaranga atapata huduma ya ushauri kwa kipindi chote atachokuwa akikuza vifaranga mpaka kipindi cha mauzo.
Faida mfugaji atazopata ni pamoja ;
-Ushauri kuhusu Banda
-Ushauri kuhusu chanjo
-Ushauri kuhusu chakula
-Ushauri kuhusu magonjwa
Hivyo kila mfugaji atayeingia atapata huduma zote hizo bure na kwa muda wowote kwa masaa 24 mpaka Kuku wake watakapokuwa tayari kwa mauzo.
Kwa wafugaji walio tayari Bei zetu za vifaranga Chotara (Kuroiler/Sasso) ni Tsh.1500 kwa kifaranga. Delivery kwa Dar es salaam ni bure.
Kwa huduma na ushauri
+255765696086 (call/sms/WhatsApp)
Kumekuwa na changamoto nyingi wanazopitia wafugaji hususani kipindi cha kuanza ufugaji wao wa mara ya Kwanza. Changamoto hizi huchangiwa na kutokuwa na elimu sahihi ya ufugaji au taarifa sahihi kuhusu ufugaji.
Haya yote husababisha mfugaji huyu kupoteza kuku kutokana na kutochukua hatua sahihi na kupelekea wengi kukata tamaa na ufugaji wa Kuku.
Kutokana na changamoto hizi tumekuja na utaratibu maalum ambao utamnufaisha kila mfugaji atayenunua vifaranga wa Kuku chotara kutoka kwetu.
Kila mfugaji atayenunua vifaranga atapata huduma ya ushauri kwa kipindi chote atachokuwa akikuza vifaranga mpaka kipindi cha mauzo.
Faida mfugaji atazopata ni pamoja ;
-Ushauri kuhusu Banda
-Ushauri kuhusu chanjo
-Ushauri kuhusu chakula
-Ushauri kuhusu magonjwa
Hivyo kila mfugaji atayeingia atapata huduma zote hizo bure na kwa muda wowote kwa masaa 24 mpaka Kuku wake watakapokuwa tayari kwa mauzo.
Kwa wafugaji walio tayari Bei zetu za vifaranga Chotara (Kuroiler/Sasso) ni Tsh.1500 kwa kifaranga. Delivery kwa Dar es salaam ni bure.
Kwa huduma na ushauri
+255765696086 (call/sms/WhatsApp)