Suluhisho la konokono msimu huu wa masika ni kumdhibiti malkia wao

Suluhisho la konokono msimu huu wa masika ni kumdhibiti malkia wao

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.

Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
 
Touching a slug or a snail with your bare hands can potentially expose you to certain bacteria, viruses, or parasites. Slugs and snails can carry pathogens such as rat lungworm, which can cause a rare form of meningitis in humans.
 
Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.

Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
Ukisikia shukrani ya punda ni mateke ndo hii sasa. Yaani huyu konokono akishakuponya zawadi yake ni kifo?
 
Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.

Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
unazungumzia mchwa au konokono? Hahaaa aiseee,
 
Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.

Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
Acha fix konokono sio mchwa, kila konokono anataga mayai
 
Touching a slug or a snail with your bare hands can potentially expose you to certain bacteria, viruses, or parasites. Slugs and snails can carry pathogens such as rat lungworm, which can cause a rare form of meningitis in humans.
Acha tu mkuu,kuna kipindi niliungua na pikipiki mguu kipindi nimeenda kuoshwa kidonda akatokea jamaa ni boda ana kidonda kama changu ananambia bro hapo utachelewa sana kupona ilitakiwa pale ulipoumia umwagie petroli kwanza alafu utafute manyoya ya sungura uyabandike na hapo alipo kabandika hayo manyoya ya sungura na kidonda kimekauka kwa muonekano wa nje.

Sasa mimi binafsi kwa uelewa wangu nikafikiria namna manyoya ya sungura yalivyo na bacteria then ukahusianishe na kidonda kibichi aisee nikachoka kabisa.
 
Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.

Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
Na kwanini ufanye hivyo..?? vipi kama wao wakiamua kukuua wewe usiharibu mazingira yao..??
 
Back
Top Bottom