machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Hii nayo pointNa kwanini ufanye hivyo..?? vipi kama wao wakiamua kukuua wewe usiharibu mazingira yao..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo pointNa kwanini ufanye hivyo..?? vipi kama wao wakiamua kukuua wewe usiharibu mazingira yao..??
Unawaamulu watu kuua viumbe bila hatia baada ya kujinufaisha na matibabu kutoka kwao daah😢🤔😭Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.
Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
Huyo akili hana hajui umuhimu wa wadudu na viumbe wengne wanaotambaaUkisikia shukrani ya punda ni mateke ndo hii sasa. Yaani huyu konokono akishakuponya zawadi yake ni kifo?