ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ana faida ila Ana hasara Ki kubwa ni kumuuaContent haina ushirikiano na heading.
Ukisikia shukrani ya punda ni mateke ndo hii sasa. Yaani huyu konokono akishakuponya zawadi yake ni kifo?Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.
Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
unazungumzia mchwa au konokono? Hahaaa aiseee,Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.
Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
Acha fix konokono sio mchwa, kila konokono anataga mayaiKuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.
Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue
OC zimeshashuka huko kwenu mzee baba?Ana faida ila Ana hasara Ki kubwa ni kumuua
Anasema kichwa cha habari na maelezo vinapishanaAna faida ila Ana hasara Ki kubwa ni kumuua
Acha tu mkuu,kuna kipindi niliungua na pikipiki mguu kipindi nimeenda kuoshwa kidonda akatokea jamaa ni boda ana kidonda kama changu ananambia bro hapo utachelewa sana kupona ilitakiwa pale ulipoumia umwagie petroli kwanza alafu utafute manyoya ya sungura uyabandike na hapo alipo kabandika hayo manyoya ya sungura na kidonda kimekauka kwa muonekano wa nje.Touching a slug or a snail with your bare hands can potentially expose you to certain bacteria, viruses, or parasites. Slugs and snails can carry pathogens such as rat lungworm, which can cause a rare form of meningitis in humans.
Mkuu kiufupi konokono kwa mbele jike kwa nyuma dume, wanagekuikiana wanapigana game.....wote wanatagaKonokono ni hermaphrodite atakaye muwahi mwenzake kumpiga para ndio atakua dume!
Konokono hawanaga Cha malkia wala mfalme
Sahihi kabisaMkuu kiufupi konokono kwa mbele jike kwa nyuma dume, wanagekuikiana wanapigana game.....wote wanataga
Na kwanini ufanye hivyo..?? vipi kama wao wakiamua kukuua wewe usiharibu mazingira yao..??Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake.
Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa robo kilo ukimpata mgeuze kwa chini utaiona utando Fulani kama wa spider web Yale ni mayai na anazaa watoto weng sana na ni tiba ya mapunye au utangotango Muweke akutembelee eneo lenye shida unapona kisha muue