Walimu wanalalamika sana juu ya malimbikizo ya mishahara,madai ya fedha za likizo na migomo yao kutokuwa njia mbadala ya kupata haki zao.Mtazamo wangu ni kuwa ili wajikomboe, wote wanaolalamika waache ualimu waingie sekta nyingine.Mf kwa kuongeza elimu yao,au kwenda ktk biashara.Wengi ambao walikuwa walimu wakaacha kazi hiyo wanakiri kuwa na mafanikio kuliko wale ambao walioanza nao kazi.
Nimeamini utetezi wa
mtanzania utatoka mbali ........................... na ninachoamini
mleta mada hakuwa na nia mbaya
isipokuwa ametafsiliwa vibayaa
Ualimu ni umaskini.
Wendolipumbafu lamwisho kabisa eti wakaongeze elimu zao kwani kila aliye mwalimu anaelimu ndogo?