Ingawa sikubaliani katika mengi na mtoa mada alosema, ila nadhani imefika mahali Walimu/viongozi wao wasilalamikie tu madai ya malimbikizo yao na madai ya vitu vidogovidogo kama hela za nauli nakadhalika, je hzo bilioni ishirini wanzodai wakilipwa lets say 2moro, je watakuwa na na lakuenda mbele ya media na kusema nini? Nafikiri Walimu wangeangalia kwa upana mkubwa matatizo yao, ambayo mie nadhani haya ni machache kati ya mengi:
1. Mishahara iendane at least na kada nyingine. Mfano mdogo kabisa ni kama huu ambapo Mwl. aliyemaliza chuo kikuu labda kasoma B.ed in arts akiajiriwa katika shule za sekondari huanza na daraja la TGTS D1 wakati mwenzie aliyesoma kozi hiyo hiyo huanza kwa daraja la TGTS E1 ambao wanatofautiana karibia shilingi laki moja.
2. Moja kati ya sifa ya mwalimu kupandishwa daraja ni pamoja na kuongeza kiwango cha elimu. Siku hizi hata usome vipi unabaki katika utaratibu wa kawaida wa kupanda cheo kutokana na mda ulotumika kazini. Mf. Mwl aliyekuwa na diploma mwenye ngazi ya mshahara TGTSC1 akisoma na kupata bachelor ataendelea na mshahara huo huo wakati vijana walio maliza nae bachelor wanakula TGTSD1!
3. Mazingira ya utendaji kazi ni mgumu sana hasa kwa walim walio pembezoni, kuna umuhimu hao kupewa upendeleo maalum mfn wakiamua kujiendeleza serekari ighalimie masomo yao
4. Unaweza kuongezea na za kwako!
Mkuu LOVED,Malalika
Sifa ya mtu aliyeelimika ni kama wewe.Unachunguza undani na hoja na kuamua kwa haki.Unafaa kuwa sauti ya walimu.
Ingawa sikubaliani katika mengi na mtoa mada alosema, ila nadhani imefika mahali Walimu/viongozi wao wasilalamikie tu madai ya malimbikizo yao na madai ya vitu vidogovidogo kama hela za nauli nakadhalika, je hzo bilioni ishirini wanzodai wakilipwa lets say 2moro, je watakuwa na na lakuenda mbele ya media na kusema nini? Nafikiri Walimu wangeangalia kwa upana mkubwa matatizo yao, ambayo mie nadhani haya ni machache kati ya mengi:
1. Mishahara iendane at least na kada nyingine. Mfano mdogo kabisa ni kama huu ambapo Mwl. aliyemaliza chuo kikuu labda kasoma B.ed in arts akiajiriwa katika shule za sekondari huanza na daraja la TGTS D1 wakati mwenzie aliyesoma kozi hiyo hiyo huanza kwa daraja la TGTS E1 ambao wanatofautiana karibia shilingi laki moja.
2. Moja kati ya sifa ya mwalimu kupandishwa daraja ni pamoja na kuongeza kiwango cha elimu. Siku hizi hata usome vipi unabaki katika utaratibu wa kawaida wa kupanda cheo kutokana na mda ulotumika kazini. Mf. Mwl aliyekuwa na diploma mwenye ngazi ya mshahara TGTSC1 akisoma na kupata bachelor ataendelea na mshahara huo huo wakati vijana walio maliza nae bachelor wanakula TGTSD1!
3. Mazingira ya utendaji kazi ni mgumu sana hasa kwa walim walio pembezoni, kuna umuhimu hao kupewa upendeleo maalum mfn wakiamua kujiendeleza serekari ighalimie masomo yao
4. Unaweza kuongezea na za kwako!
Ingawa sikubaliani katika mengi na mtoa mada alosema, ila nadhani imefika mahali Walimu/viongozi wao wasilalamikie tu madai ya malimbikizo yao na madai ya vitu vidogovidogo kama hela za nauli nakadhalika, je hzo bilioni ishirini wanzodai wakilipwa lets say 2moro, je watakuwa na na lakuenda mbele ya media na kusema nini? Nafikiri Walimu wangeangalia kwa upana mkubwa matatizo yao, ambayo mie nadhani haya ni machache kati ya mengi:
1. Mishahara iendane at least na kada nyingine. Mfano mdogo kabisa ni kama huu ambapo Mwl. aliyemaliza chuo kikuu labda kasoma B.ed in arts akiajiriwa katika shule za sekondari huanza na daraja la TGTS D1 wakati mwenzie aliyesoma kozi hiyo hiyo huanza kwa daraja la TGTS E1 ambao wanatofautiana karibia shilingi laki moja.
2. Moja kati ya sifa ya mwalimu kupandishwa daraja ni pamoja na kuongeza kiwango cha elimu. Siku hizi hata usome vipi unabaki katika utaratibu wa kawaida wa kupanda cheo kutokana na mda ulotumika kazini. Mf. Mwl aliyekuwa na diploma mwenye ngazi ya mshahara TGTSC1 akisoma na kupata bachelor ataendelea na mshahara huo huo wakati vijana walio maliza nae bachelor wanakula TGTSD1!
3. Mazingira ya utendaji kazi ni mgumu sana hasa kwa walim walio pembezoni, kuna umuhimu hao kupewa upendeleo maalum mfn wakiamua kujiendeleza serekari ighalimie masomo yao
4. Unaweza kuongezea na za kwako!
Ighalimie na serekari UFAFANUZI tafadhali! ndo nini vitu hivyo.
Mkuu, Inavyoelekea na wewe ni mwalimu tena nahis wa pembezoni pole sana MWALIMU njoo huku kilimo,mifugo tule MA TGTS YA MAMILION
Mkuu Je, yakupasa kuwa Mwalimu tu ndio ujue matatizo ya walimu? Inachekesha eti wewe wa kilimo na Mifugo unayeishi mjini na si PEMBEZONI! Nikung'ate kidogo tu sikio, nimewahi kuwa mwalimu Yes! mie ni MWALIMU. Kunadhambi yeyote? :target: Na kazi nayofanya sasa inanipa nafasi ya kujua mengi yahusuyo elimu kwa upana mkubwa kuliko huyo Bw. Kawambwa.
Ha ha ha ha asante kwa kuniuma sikio.kimsingi si lazima uwe Mwl ndo ujue matatizo ya walimu ila ujumbe wako hapo ukisomwa na mwanasaikolojia anajua wewe ni mwalimu na hayo uliyoeleza ni MADHILA unayokumbana nayo.
Nilichaandika labda kinauhusiano na kile nilichosomea katika levo ya shahada. Kwa taarifa yako tu, Nimesoma hiyo kitu uloitaja. Pasipo na shaka lolote naamini nawe umepitapita katika kada hii! Ingawa nashangaa Saikolojia inaingiaje katika ma TGTS ya mamilioni ya kilimo na mifugo ambapo unataka kuniaminisha ndipo unapopatia riziki yako ya kila siku! teh teh teh teh anyway tuchape kazi kumkomboa Mwalim au sio NZURI PESA?
Nilichaandika labda kinauhusiano na kile nilichosomea katika levo ya shahada. Kwa taarifa yako tu, Nimesoma hiyo kitu uloitaja. Pasipo na shaka lolote naamini nawe umepitapita katika kada hii! Ingawa nashangaa Saikolojia inaingiaje katika ma TGTS ya mamilioni ya kilimo na mifugo ambapo unataka kuniaminisha ndipo unapopatia riziki yako ya kila siku! teh teh teh teh anyway tuchape kazi kumkomboa Mwalim au sio NZURI PESA?
Malalika
Sifa ya mtu aliyeelimika ni kama wewe.Unachunguza undani na hoja na kuamua kwa haki.Unafaa kuwa sauti ya walimu.
Ualimu ni umaskini.
Naona jamaa wanakuchana wakati huo ndo ukweli. Na hii ina-apply kwenye kazi zingine pia, kuliko kuendelea kulalamika bora hiyo kazi uipige chini. Yaani mtu mzima anajua ualimu unalipa vipi bado anausomea na anakubali kuajiriwa baada ya hapo anajikita kwenye kulalama badala kufundisha..! Kama kazi unaona haikufai acha, ualimu ni wito..! Naunga mkono hoja 100%.Walimu wanalalamika sana juu ya malimbikizo ya mishahara,madai ya fedha za likizo na migomo yao kutokuwa njia mbadala ya kupata haki zao.Mtazamo wangu ni kuwa ili wajikomboe, wote wanaolalamika waache ualimu waingie sekta nyingine.Mf kwa kuongeza elimu yao,au kwenda ktk biashara.Wengi ambao walikuwa walimu wakaacha kazi hiyo wanakiri kuwa na mafanikio kuliko wale ambao walioanza nao kazi.
Walimu wanalalamika sana juu ya malimbikizo ya mishahara,madai ya fedha za likizo na migomo yao kutokuwa njia mbadala ya kupata haki zao.Mtazamo wangu ni kuwa ili wajikomboe, wote wanaolalamika waache ualimu waingie sekta nyingine.Mf kwa kuongeza elimu yao,au kwenda ktk biashara.Wengi ambao walikuwa walimu wakaacha kazi hiyo wanakiri kuwa na mafanikio kuliko wale ambao walioanza nao kazi.
Mkuu Malalika ni vigumu sana kumkomboa asiyetaka kukombolewa! Nina kitu nilichogundua wanacho walimu na hiko ndo sababu ya wao KUENDELEA KUONEKANA KAMA MAZEZETA WA MAMBO YANAYOWAHUSU!