Suluhisho la msongamano wa magari na changamoto ya wamachinga jijini Mwanza

Suluhisho la msongamano wa magari na changamoto ya wamachinga jijini Mwanza

Grand Canyon

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
545
Reaction score
1,191
Jiji la Mwanza lina changamoto ya msongamano wa magari kwa sababu barabara inayounganisha Mwanza na Tanzania ina njia mbili tu. Hiyo ni barabara ya Kenyatta. Barabara inayounganisha Mwanza na njia ya Kenya ina njia 3.Ni barabara ya Nyerere.
nini kifanyike?
Magari ya Abiria yasiingie katikati ya mji. Ichongwe barabara kutokea Pepsi itakayopita Igogo hadi Bugarika(Bugando) kisha Ishukie Mabatini.Mlima wa Mabatini kwenda Bugarika utakwanguliwa kidogo sehemu isiyo na mwinuko mkali linapopita bomba la maji kisha lijengwe daraja ili kupunguza mpando(Ona picha).
The_Viaduct_at_Vitinya_Pass_(Bulgarian_Витиня).jpg


Kituo cha mwisho kuingia mjini kutoka Kisesa kitakuwa Mabatini kisha magari yanayokwenda Buhongwa yanapita Bugarika yanateremka hadi Pepsi kupitia Igogo.

Kisha ichongwe barabara nyingine kutokea Mabatini kupitia Isamilo hadi daraja la Rock City mall. Hiyo itakuwa barabara ya Airport-Isamilo-Mabatini-Kisesa, au Airport-Mabatini-Igogo-Nyashishi, au Nyashishi-Igogo-Mabatini-Kisesa.(ona picha)
MWANZA.jpg


Isamilo,Mabatini,Bugarika, na Igogo(Pepsi) kuwe na vituo vya daladala.Wateja watakuwa wanashushwa kwenye hivyo vituo. Kwa hiyo Wamachinga watakimbia jiji kwenda Mabatini,Isamilo,Bugarika,Pepsi ili kufata wateja.
 
Jiji la Mwanza lina changamoto ya msongamano wa magari kwa sababu barabara inayounganisha Mwanza na Tanzania ina njia mbili tu. Hiyo ni barabara ya Kenyatta. Barabara inayounganisha Mwanza na njia ya Kenya ina njia 3.Ni barabara ya Nyerere.
nini kifanyike?
Magari ya Abiria yasiingie katikati ya mji. Ichongwe barabara kutokea Pepsi itakayopita Igogo hadi Bugarika(Bugando) kisha Ishukie Mabatini.Mlima wa Mabatini kwenda Bugarika utakwanguliwa kidogo sehemu isiyo na mwinuko mkali linapopita bomba la maji kisha lijengwe daraja ili kupunguza mpando(Ona picha).View attachment 1964259

Kituo cha mwisho kuingia mjini kutoka Kisesa kitakuwa Mabatini kisha magari yanayokwenda Buhongwa yanapita Bugarika yanateremka hadi Pepsi kupitia Igogo.

Kisha ichongwe barabara nyingine kutokea Mabatini kupitia Isamilo hadi daraja la Rock City mall. Hiyo itakuwa barabara ya Airport-Isamilo-Mabatini-Kisesa, au Airport-Mabatini-Igogo-Nyashishi, au Nyashishi-Igogo-Mabatini-Kisesa.(ona picha) View attachment 1964255

Isamilo,Mabatini,Bugarika, na Igogo(Pepsi) kuwe na vituo vya daladala.Wateja watakuwa wanashushwa kwenye hivyo vituo. Kwa hiyo Wamachinga watakimbia jiji kwenda Mabatini,Isamilo,Bugarika,Pepsi ili kufata wateja.
Kama vile unapointi
 
Jiji la Mwanza lina changamoto ya msongamano wa magari kwa sababu barabara inayounganisha Mwanza na Tanzania ina njia mbili tu. Hiyo ni barabara ya Kenyatta. Barabara inayounganisha Mwanza na njia ya Kenya ina njia 3.Ni barabara ya Nyerere.
nini kifanyike?
Magari ya Abiria yasiingie katikati ya mji. Ichongwe barabara kutokea Pepsi itakayopita Igogo hadi Bugarika(Bugando) kisha Ishukie Mabatini.Mlima wa Mabatini kwenda Bugarika utakwanguliwa kidogo sehemu isiyo na mwinuko mkali linapopita bomba la maji kisha lijengwe daraja ili kupunguza mpando(Ona picha).View attachment 1964259

Kituo cha mwisho kuingia mjini kutoka Kisesa kitakuwa Mabatini kisha magari yanayokwenda Buhongwa yanapita Bugarika yanateremka hadi Pepsi kupitia Igogo.

Kisha ichongwe barabara nyingine kutokea Mabatini kupitia Isamilo hadi daraja la Rock City mall. Hiyo itakuwa barabara ya Airport-Isamilo-Mabatini-Kisesa, au Airport-Mabatini-Igogo-Nyashishi, au Nyashishi-Igogo-Mabatini-Kisesa.(ona picha) View attachment 1964255

Isamilo,Mabatini,Bugarika, na Igogo(Pepsi) kuwe na vituo vya daladala.Wateja watakuwa wanashushwa kwenye hivyo vituo. Kwa hiyo Wamachinga watakimbia jiji kwenda Mabatini,Isamilo,Bugarika,Pepsi ili kufata wateja.
Igogo-Bugando-Bugarika😀. Ndugu umefanya upembuzi yakinifu kufahamu ni asilimia ngapi ya magari ya kitanzania yatakayopanda huo mlima?? Acha kabisa, tutatengeneza tatizo jingine, AJARI!
 
Igogo-Bugando-Bugarika😀. Ndugu umefanya upembuzi yakinifu kufahamu ni asilimia ngapi ya magari ya kitanzania yatakayopanda huo mlima?? Acha kabisa, tutatengeneza tatizo jingine, AJARI!
The_Viaduct_at_Vitinya_Pass_(Bulgarian_Витиня).jpg
 
Back
Top Bottom