Utulivu wa akili pamoja na mazoezi yanatakiwa.Kwa wale wanaowahi sana nawashauri kutumia mbinu moja hivi pale unapohisi kwamba WANAO wanataka kutoka unapaswa kuhamisha mawazo yako toka hapo ulipo.Unaweza kukumbuka msiba wa mtu uliyempenda sana au kukumbuka siku uliyopata shida kubwa na hukuwa na kitu Mfukoni
Hili neno nmelikumbuka mbali sana aisee ha ha ha MKUYATI
Samahani wakuu,
naomba kujua : ni madhara ama faida gani azopata kijana wa kiume mwenye umri wa kati ya miaka 20-25 ambaye hajawahi kujamiiana wala kupiga punyeto kipindi chote cha maisha?!.
Mkuu hizo kahawa ni natural au artificial?Kama kuna mwenye tatizo anitafute nimpe moja kati ya kahawa za Organo Gold...ni nzuri sana kwa waliopungukiwa nguvu za kiume..
Tized, Wanaume wangezingatia haya uliyoyasema hapa hakika wasingekimbilia kununua MKUYATI
Kuna wanawake wengine wako active hadi raha,hakuachi ushughulike peke yako anakusaidia mwanzo mwisho.
Nalog off
Umatumia dawa au naturally??Msaada unahtajika
Huwa ninachelewa kufika kileleni, kiasi kwamba wanawake wanahisi ninawakomoa..maana wanaweza kupiga hodi mara 3-5 mimi ndio kwaanzaaa mashine inachanganya....
JE NINA TATIZO...?