Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Ahsante sana kk ila c unajua shughuli ya Beberu ni kupanda hadi jamaa akubaliane na mkitoMkuu na hali hii ngumu ya maisha nyingi za nini
wenzio hata hyo moja hawaipati,
hebu rizika na hicho bana
Kiasi kipindi cha Skuli 2005Madhara ya puchu hayo.
Tafazali usimwite... hili halihusiani kabisa na utafiti wetu...hahahhhh ngoja nimwite Bonny aje akusaidie
Beberu huwa na jinsia gani?mtoa mada n jinsia gani kwan
Beberu huwa jinsia gani?Hilo bado sijalipatia ufumbuzi...
hahahhhhh nyie utafiti wenu kwa wanawake tuTafazali usimwite... hili halihusiani kabisa na utafiti wetu...
mm sijui ndio mana nimeulizaBeberu huwa na jinsia gani?
Asprin naona hauna msaada wowote kwa kujaribu kunisaidia hili tatizo naomba waachie dawa zingine zinijaribu kunisaidiaAsanta sana... huyu beberu atakuwa si rizki wallah... hebu leta kisu tumchinje...
Kula matikiti sana halafu fanya mazoezi ya kukimbia na viungo kama push up.Ndg zangu naombeni mnisaidie kwa hili jambo ambalo huwa linanitokeaga katika 6×6 pale mjengoni huwa nikipiga shuti langu moja tu jamaa anasizi as a amekula Ngada(Unga) sasa huwa nashindwa wapi kufikia hat triki?
My take: lakini kavu lazima mtoto atengenezwe but huwa siriziki.....
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Colietha vipi hunipendi eeeeeh? Me Beberu-mpya ninaechipukia nina watoto 4 mimba 1 now 2zilipenda zaidibeberu beberu umekuja na stori nyingine leo.
[emoji231] [emoji231] [emoji231]mm sijui ndio mana nimeuliza
Soda Pepsi kila cku, juice ya maendi week mara moja, maji lita 2kila sikuJibu kwa ukweli wako toka moyoni ni tajie vyakula na vinywaji vya aina tatu unavyovipenda sana kuvitumia kisha nijue naanzia wapi kukusaidia.
Vipi kuhusu chakula?Soda Pepsi kila cku, juice ya maendi week mara moja, maji lita 2kila siku
Ushaambiwa akipiga shuti moja tu yeye hoi sio akipigwa shuti moja na bado unauliza kama yeye ni he or she?Wewe ni he/she??
Una umri gani??
Tuanzie hapo kwanza...
Chips kuku, mayai. Soseji. Wali na Ugali ila Chips ndo napendaga sanaVipi kuhusu chakula?
Kuna ndg zangu humu sijui hawajapitia skuli maana hawamjui Beberu dumeUshaambiwa akipiga shuti moja tu yeye hoi sio akipigwa shuti moja na bado unauliza kama yeye ni he or she?