Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Mkuu pia aina ya wanawake inachangia sana tu..mimi kuna baadhi ya wanawake wananishinda kabisa kuwameng'enyuwa..mimi sili vibovu mkuu.....nikiona dosari tu ktk mwili wa mwanamke.. Napata shida sana KUMMENG'ENYUWA.. lakini wapo aina fulani ya wanawake.. Aisee.. Nakuwa na kiwango kizuri hadi najishangaa..UUME UNASIMAMA VZR SN..na napiga show za KIBABE... wala sihitaji maandalizi makubwa...nakuwa na BALL POSSESSION nyingi sana...85% kwa 15 % za mwanamke.... magoli ya kufunga mwanamke 8 mimi 2 na napiga magoli ya move....sio yale ya KONA NA PENALTY.. nakuwa na stamina muda wote..na ..muda wa mchezo dk 120.... ..
 
Pia zoea kutafuta mbegu za maboga na kula tende kwa wingi,maziwa na mbegu za almond zinasaidia kwa kiasi kikubwa kuondoa tatizo la ku under perform
 
o0

Nipo gorini nitarudi hapa mambo yakijipa.

 
o0o

Nipo gorini nitarudi hapa mambo yakijipa.

 

 
Daaaah nakuanga mkono hojaa 100%
 
Katika suala la mahusiano ,kwanza nivyema wapenzi kujitambua na kujiwwkea mazingira ya kuanzia kushiliki ,Mara nyingi Dada zetu au wapenzi wetu baadhi yao hawapendi kutomaswa na wapendwa wao huona ka ni upuuzi lakini bila kujua athari za kutotomaswa ,na katika kutomasa husaidia ubongo kujipanga kadri mlivyo kaa na pale mnapokuja kuwa tayari kushilingi tendo la ndoa linaweza kuchukua muda na kila mmoja WAP akafurahia tendo hilo pili ni vyema kubadili aina na kufanya tendo siyo kila siki/kila muda ni hiyo hiyo moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee..[emoji15]
 
Maada ya msingi sana.Ingawa lengo kubwa ni ku-balance finishing kati ya me na ke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…