Suluhisho: Tatizo la mita ya luku kugoma kupokea token

Suluhisho: Tatizo la mita ya luku kugoma kupokea token

ndio mara kwanza kununua umeme tangu ufungiwe meter mita hiyo mpya au hilo ttzo limetokea ghafla
 
nikiingiza namba ya kufungulia meter inasema reject 2, nikiingiza token inasema reject 1
 
Hapa kwangu umeme unashindwa kuwasha mahine ya kuchomelea, lakini nikiweka taa zinaungua maramoja, mafundi wameangalia wakiondoka hawarudi tena, nipo gizani kwa muda sasa. Msaada wenu utatoa mwanga katika tatizo hili.
Kichoi, Mtulivu, SAA MBOVU.
 
Chakushangaza nyumba zingine katika line hii zinawasha vizuri hata mashine inafanya kazi.
 
hizo meter ni nzuri sana ukizijulia na zikituria sisi mwanzo huku tuliipata fresh yake nenda rudi tanesco ka vile sijui nini
araf sometyme tanesco pumbavu sana wanakufungia kitu kipya araf hawakupi hata maelezo ya kina utakuta hapo tatzo dogo sana ka sisi tulikosa umeme week 2 nzima nimeenda tanesco ka mara 3 araf kumbe ishu yenyewe kumbe pale kwenye socet unatakiwa upaache SWITCH ON ndo umeme uingie yaan nilikeleka sana kutusumbua kote kule kulala giza araf ishu yenyewe ndogo
wanaudhi sana

Duh umenichekesha sana. Yalishawahi nikuta hayo, zile mita za mwanzo ulikuwa ukinunua umeme ukiingiza namba ukimalizia namba ya mwisho umeme unakuwa umeingia. Nilipohamia kwangu nikafungiwa mita na ule umeme wa kuanzia ulipoisha nikanunua nilipoenda ingiza ukawa hauingii tukahangaika sana, tukashinda bila umeme jumapili yote hadi jumatatu nilipoenda tanesco wakanielekeza ukimaliza kuingiza namba bonyeza #.. 🙁🙁. Sikumbuki kuona karatasi ya maelezo ya jinsi ya kutumia mashine hiyo ya Luku.
 
Duh umenichekesha sana. Yalishawahi nikuta hayo, zile mita za mwanzo ulikuwa ukinunua umeme ukiingiza namba ukimalizia namba ya mwisho umeme unakuwa umeingia. Nilipohamia kwangu nikafungiwa mita na ule umeme wa kuanzia ulipoisha nikanunua nilipoenda ingiza ukawa hauingii tukahangaika sana, tukashinda bila umeme jumapili yote hadi jumatatu nilipoenda tanesco wakanielekeza ukimaliza kuingiza namba bonyeza #.. 🙁🙁. Sikumbuki kuona karatasi ya maelezo ya jinsi ya kutumia mashine hiyo ya Luku.
Hahahaha......pole Na wewe

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Hapo namba 3 nifafanulie mkuu...umeme hamna kabisa umezima luku imeisha je nichomeke tu? Ila betri zinafanyakazi ni mpya...
Lala, kesho uwafate wausika, bila ivo, faini na kutangazwa kwa wizi waumeme utausika!!![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
hizo meter ni nzuri sana ukizijulia na zikituria sisi mwanzo huku tuliipata fresh yake nenda rudi tanesco ka vile sijui nini
araf sometyme tanesco pumbavu sana wanakufungia kitu kipya araf hawakupi hata maelezo ya kina utakuta hapo tatzo dogo sana ka sisi tulikosa umeme week 2 nzima nimeenda tanesco ka mara 3 araf kumbe ishu yenyewe kumbe pale kwenye socet unatakiwa upaache SWITCH ON ndo umeme uingie yaan nilikeleka sana kutusumbua kote kule kulala giza araf ishu yenyewe ndogo
wanaudhi sana
have you given out the solution .........?
or giving us your story ......
no conclusion u have made joh
 
have you given out the solution .........?
or giving us your story ......
no conclusion u have made joh
Kwangu Mimi walikuja wao wa emergence walishindwa then wakaniambia watakuja watu wamita kwa kutumiaTB no ileile ,siku ya pili nikaenda kuwashitua tena yaani j5,wakanijibu bado jamaa wapo bize ila nisubiri watakuja ,nimepiga simu mala haipatikani na ikipatikana kanapokea kadada kwa mapozi makubwa ,then kanakuambia mafundi watakuja kimya mpaka Leo hii,aisee yaani ninahasira na hawa jamaa we acha tu.
 
Naona hili swala linawapa shida, msiwe na shaka lakini, ninawatengenezea software ya kumonitor umeme, kuanzia kulipia luku kwenye smartphone hadi kuangalia kila kifaa kinavyotumia umeme, hadi recommendation simu inakupa kua ukizima kitu flani uta-save kiasi flani. Hutogusa sijui remote wala nini tena, simu yako itamaliza kila kitu.
 
Mkuu mita za zamani na hizi kuna tofauti kubwa sana.
1. Mita za zamani ni mpaka msoma mita aje na mteja apigiwe hesabu ili kujua bill yake wakati za sasa ni prepaid.
2. Mita za sasa zimeongeza mapato na kupunguza madeni kwakua mita za zamani baadhi ya wateja walikuwa hawalipi kwa wakati.
3. Mita za sasa zinapunguza idadi ya wafanyakazi kwakua hakuna haja ya kuwa na msoma mita kwahiyo kuongeza kipato kwa shirika tofauti na za zamani
4. Faida kubwa ya mita za sasa ni kuwa zinahisi hitilafu (short) ya umeme kwa haraka sana na zina fungua relay ili kutoa umeme na kuepusha nyumba kuwaka moto. Hii pia hutokea pale fundi aliyefanya wiring akikosea kidogo au kuna sehemu ina lose connection basi meter inagoma kabisa kwakuwa ina sense short wakati mita ya zamani haiwezi kufanya yote hayo.
5. Hizi mita za sasa unapotaka kuiba umeme kupitia kwenye mita ni vigumu sana kwakua kuna cover ambalo lazima utoe la ukilitoa hilo automatic kuna button unakuwa ume open so mita inahisi umeme unaibiwa kwahiyo basi inakuwa kwenye 'tempering mode' na huwezi kutoa mpaka uwaone wahusika wakati mita za zamani hazifanyi hivyo.

Note: Hapo namba 4 unaweza ukawa na tatizo mita ikazima kuokoa nyumba yako lakini kwa kutokuelewa unaanza kuwalaumu au kuwatukana tanesco kumbe ulitakiwa kuwashukuru. Hata hivyo tanesco wanatakiwa watoe elimu ya kutosha hasa kupitia vipeperushi kwakuwa ana kwa ana inakuwa vigumu mara nyingi wakati wanaenda kufunga mita huwakuta watoto tu.
Hata wakiviacha vipeperushi bado sisi watanzania ni wavivu kusoma hata ukurasa mmoja tu. Muhimu ni kufuatilia kipindi cha TANESCO na maendeleo binafsi nimejifunza mengi sana.
Maelezo mazuri sana
 
Mm yangu haingii token zasema used kila niknunua tatzo nn
 
Msaada wa kujua short cut keys kwenye mita ya wasion WHCi04
 
Back
Top Bottom