Suluhisho: Tatizo la mita ya luku kugoma kupokea token

Wazee msaada tafadhali, mita yangu ni zile za ukutani (achana na hizi za soketi/ kutumia betri)... Sasa toka juz kila nikijaribu kuingiza token inaniandikia REJECTED, shida itakuwa n nini? Au nifanyaje ili zikubali? Maana umeme unakaribia kuisha huku,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…