Kimtazamo, kodi hii ni muhimu lakini haitekelezeki. Kodi hii huwezi kuita progressive maana imegusa maisha ya wananchi ambao hata basic needs ni shida. Yaani lower end zile charges ni exorbitant.
Nini kifanyike;
Tozo zitoe nafuu mpaka 50k TZS na kwenye miamala ya juu yake ziwe ndogo ili ku discourage watu kutuma miamala mingi ya 50k.
Bunge ni la wananchi. Liitishwe hata kama ni remotely ili kikwazo cha kisheria kama kipo kiondoke.
Kujenga imani ya Serikali, Waziri mwenye dhamana ya Fedha atupishe kwa kuleta sheria ya hovyo na kuwakejeli Watanzania.
Nini kifanyike;
Tozo zitoe nafuu mpaka 50k TZS na kwenye miamala ya juu yake ziwe ndogo ili ku discourage watu kutuma miamala mingi ya 50k.
Bunge ni la wananchi. Liitishwe hata kama ni remotely ili kikwazo cha kisheria kama kipo kiondoke.
Kujenga imani ya Serikali, Waziri mwenye dhamana ya Fedha atupishe kwa kuleta sheria ya hovyo na kuwakejeli Watanzania.