Suluhu ya Manara na GSM ni Yanga kubeba ubingwa tu msimu huu

Suluhu ya Manara na GSM ni Yanga kubeba ubingwa tu msimu huu

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Kwa kweli Haji Manara na GSM kama wanataka kuishi kwa amani na kama wanataka kuwajua vizuri mashabiki na wanachama wao basi wakose ubingwa, maana haiwezekani timu iongoze ligi tangu mwaka jana zinabakia mechi 8 tunaanza kudondosha pointi kizembe namna hii, GSM wamuulize Lloyd Nchunga atawaambia vizuri kuhusu mashabiki wa Yanga, Manara ndugu yangu, umeingia kwenye 18 za wana Yanga, hao jamaa wakikosa ubingwa jiandae kuhama nchi maana nawajua watu wa Yanga.

Gemu yenu na Dodoma Jiji sio ya kawaida, Dodoma ya Masudi Juma imebadilika, kazi kwenu.
 
Manara anaonewa Tu,,
GSM aendelee kuweka Miamala kwa timu pinzani,
aone kama hatoshinda mechi zilizobaki.

Timu mmezoweya kuwahonga pesa,
Leo muwaletee maneno matupu,,

Hakuna timu itakubali kuuza points za bure,
weka mzigo mpate 3 points.
 
Ukitaka vikombe nenda msimbaz lakn ukitaka kukuza jina lako halafu upate timu. Nzur baadae nenda yanga

N yanga pekee ndyo timu inayojar kukuza mchezaj kuliko vikombe

Furaha ya wanayanya ipo kwa mayele na SI kwa klabu yao
 
Ukitaka vikombe nenda msimbaz lakn ukitaka kukuza jina lako halafu upate timu. Nzur baadae nenda yanga

N yanga pekee ndyo timu inayojar kukuza mchezaj kuliko vikombe

Furaha ya wanayanya ipo kwa mayele na SI kwa klabu yao
Ujinga mwingine bana😀, kwahiyo Simba ana vikombe vingapi vya ligi ambavyo yanga Hana??. Huu ujuha utawaisha lini?
 
Tuvumiliane jamani hizi timu za jeshi hazipokei miamala.
 
Yanga lazima wabebe,

Wametunyang'anya kakakuona wetu ambaye alikuwa anachagiza Sana ubingwa.
 
gsm asipuuzie bahasha tofauti na hapo meza itapinduliwa na mabingwa wa soka la bongo Simba.
 
Back
Top Bottom