Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Roli modo SomaliaWadau hamjamboni nyote?
Mimi ni muumini wa dini ya Ukristo lakini nasema kutoka sakafu ya moyo wangu kuwa sheria za Kiislamu ndiyo suluhisho pekee na lakudumu la kupatikana kwa amani ya kudumu duniani kote.
Matatizo makubwa tunayopitia duniani yanatokana na kudharau matumizi ya sheria za Kiislamu badala yake kutumia sheria za kibabeli. Huo ndiyo ukweli ulio sahihi.
Karibuni tujifunze