Baada ya kuisha kwa iliyokuwa ikiitwaa vita baridi mwanzoni mwa mika ya 90s, aliyekuwa Rais wa Marekani wakati huo George Walker Bush alinukuliwa akisema. Nanukuu.
Baada ya Ukomunisti kushindwa, na urusi kusambaratika, adui mkubwa aliyebakia duniani kwa sasa ni Uislam. mwisho wa kunukuu.
Kwa maoni yangu. Alikuwa sahihi kwa % nyingi.