Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katoa mfano tu mkuu kama sehemu ya kuwatia moyo wale wanaoona kazi ya kukaanga viazi sio kazi, kwani kuna ambao wanamaliza gunia moja mpaka gunia mbili hasa waliopata sehemu nzuri...Hivi nani hua anawafundisha hesabu za kijinga namna hii, kama ni rahisi hivi na wewe nenda ukawe mkaanga viazi basi
Hujaelewa nilichoandika!We ulijua wote tunamajumba ya kifahari, tumezaliwa Familia bora, tumesoma sana na tuna kazi nzuri?
Situmii karatasi wala pen mi nilikimbia umande hata kusoma na kuandika sijui lakini wanaonitegemea wanaenda chooni, hawavai nguo zenye viraka, Wana sehemu ya kuita nyumbani kwa hesabu zangu za kichwani tu zisizo la darasa hata moja.
Suma G nimeishi nae sana kitaa Karakata miaka ya 1997-2006
Jamaa ni choka kuliko maelezo,namjua vizuri sana na yeye ananijua vizuri sana.Soggy dog alikuwa anambeba mpaka chumba cha kulala.
Maisha hayana formula,ukimuona mwambie Criss anamsalimia.
Anza kujielewa mwenyewe kabla hujahitaji nikuelewe.Hujaelewa nilichoandika!
Rudi shule Mkuu, usitake ligi na mie! Akuuu huu mwaka ndo kwanza unaanza!Anza kujielewa mwenyewe kabla hujahitaji nikuelewe.
Wapi nimetumia maneno ya kulazimisha mtu akubaliane na maoni yangu?Rudi shule Mkuu, usitake ligi na mie! Akuuu huu mwaka ndo kwanza unaanza!
Huwez weka mahesabu ya karatasi utake wote waamini ulichoandika! Kubali kukosolewa utasonga mbele.
Kwakuwa hukunielewa nimeamua kukuelewesha Kwa lazima!
Tatizo lako umefanya tathmini isyo kamilifu.Watu bado hamuelewi tu kwamba hizo ajira zisizo rasmi ndizo zenye pesa nyingi kuliko zilizo rasmi?
Hebu chukulia ananunua gunia la viazi kwa elfu 35 na mafuta ya elfu 20 anakaanga na kuuza hadi jioni anamaliza gunia lote anajikuta Ana Laki moja na nusu au na ishirini hivi (150/120) ukija kutoa hapo unakuta anabakia na zaidi ya elfu 50 mfukoni mwake.
Chukua hiyo pesa izidishe Mara 30(mwezi) utachokipata Njoo hapa tuambie ni mfanyakazi wa level gani analipwa pesa hiyo kama mshahara wa mwezi, utagundua kumbe maofisini tunapotezeana Muda tu.
Na tumwambie "Cris anamsalimia"is this what u can say to your home boy?
mchawi wewe
Akuuu ni nini mkuu?Rudi shule Mkuu, usitake ligi na mie! Akuuu huu mwaka ndo kwanza unaanza!
Huwez weka mahesabu ya karatasi utake wote waamini ulichoandika! Kubali kukosolewa utasonga mbele.
Kwakuwa hukunielewa nimeamua kukuelewesha Kwa lazima!
Babu kila kitu kina risk zake hata kumtia mwanamke mimba ni risk pia sema mimi nime "comment" tu ili kuokoa fikra zinazowatawala watu kwamba hizo kazi ndogo ndogo hazina maana la sivyo ili kuelezea kinaga ubaga kama unavyopendekeza basi ianzishwe "thread" maalumu kwa ajili ya kutoa somo kitu amabacho naamini kilishafafanuliwa humu JF na kinaendelea kufafanuliwa sana lakini watu hawataki kuelewa.Tatizo lako umefanya tathmini isyo kamilifu.
Hujaweka possible risks na challenges ambazo ni nyingi mno. Kama kuoza kwa viazi, kuharibika kwa mayai ya kumix na chips, kulipia eneo la biashara, kubadilika kwa kodi ya tozo n.k
Hata hivyo, nakubaliana nawewe kuwa hizo biashara zinalipa zaidi kuliko wakaao maofisini.
Good day...
is this what u can say to your home boy?
mchawi wewe
Kwaio kuanzia jumatatu hadi jumapili flow ya wateja ipo constant sio? hata kwenye book keeping ya form one kuna kitu kinaitwa stock, goods carried forward kwa man kwamba huwezi kua na stock ikaisha yote completely bali hua inapungua kiasi na wewe unajazilizia hesabu hizo za kuzidisha mara 30 ziko applicable kwenye kuajiriwa tu sio kujiajairiWatu bado hamuelewi tu kwamba hizo ajira zisizo rasmi ndizo zenye pesa nyingi kuliko zilizo rasmi?
Hebu chukulia ananunua gunia la viazi kwa elfu 35 na mafuta ya elfu 20 anakaanga na kuuza hadi jioni anamaliza gunia lote anajikuta Ana Laki moja na nusu au na ishirini hivi (150/120) ukija kutoa hapo unakuta anabakia na zaidi ya elfu 50 mfukoni mwake.
Chukua hiyo pesa izidishe Mara 30(mwezi) utachokipata Njoo hapa tuambie ni mfanyakazi wa level gani analipwa pesa hiyo kama mshahara wa mwezi, utagundua kumbe maofisini tunapotezeana Muda tu.
Wasomi wa Tanzania mna tabu sana na kwaKwaio kuanzia jumatatu hadi jumapili flow ya wateja ipo constant sio? hata kwenye book keeping ya form one kuna kitu kinaitwa stock, goods carried forward kwa man kwamba huwezi kua na stock ikaisha yote completely bali hua inapungua kiasi na wewe unajazilizia hesabu hizo za kuzidisha mara 30 ziko applicable kwenye kuajiriwa tu sio kujiajairi