Uhembe
Member
- Mar 10, 2012
- 97
- 36
suala la kupatiwa leseni ya usafirishaji limekuwa issue.
unapeleka document zinazotakiwa bado unazungushwa ile mbaya.
imagane wizara ya kazi unachukua wiki 1, sumatra unachukua wiki mbili au tatu.
muda wote huu kazi zinalala..
biashara zitaenda vipi?
au ndio maisha bora kwa mtanzania ?
Je tutafika kweli.......?
unapeleka document zinazotakiwa bado unazungushwa ile mbaya.
imagane wizara ya kazi unachukua wiki 1, sumatra unachukua wiki mbili au tatu.
muda wote huu kazi zinalala..
biashara zitaenda vipi?
au ndio maisha bora kwa mtanzania ?
Je tutafika kweli.......?