Sumatra(Ratra): Nina uhakika wameshindwa kazi(Daladala zinafanya zipendavyo,bei za nauli zimeshindikana)

Sumatra(Ratra): Nina uhakika wameshindwa kazi(Daladala zinafanya zipendavyo,bei za nauli zimeshindikana)

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
Haya ndiyo mambo yanayofanya wananchi wanaiona utofauti wa Marais. MAMLAKA mbalimbali za Serikali zinaifanya serikali ionekane haifanyi kazi yake. Watu wanapoona Kunapwaya ndipo huanza kumzungumzia mwendazake. Maskini ya Mungu wanaozorotesha kazi ni wapumbavu fulani pale Ratra.

Haiwezekani vituo vinatambulika na magari, daladala, bajaji, pikipiki zikajipangia bei.
 
Yani hovyo mno aisee mi naona ntakuwa traffic muda sio mrefu halafu bastola nyingi mtaani.
 
Haya ndiyo mambo yanayofanya wananchi wanaiona utofaut wa Marais. MAMLAKA mbalimbali za serikali zinaifanya serikali ionekane haifanyi kazi yake. Watu wanapoona Kuna pwaya ndipo huanza kumzungumzia mwenda zake. Maskin ya Mungu wanaozorotesha kazi ni wapumbavu flan pale Ratra.

Haiwezekani vituo vinatambulika na magari, daladala, bajaji, pikipiki zikajipangia bei.
Duuh
 
Nauli unalipishwa ya mwandege wakati gari umepandia ungindoni kuja ferry aisee
 
Wao Ratra watoe mwongozo waone daladala zikipaki. Nimeshuhudia mizozo mingi kwenye madaladala, bajaji. Sehemu iliyokuwa nauli 500 imekuwa 700. Iliyokuwa 1600 imeenda 2000. Pikipiki kutoka 1000 Kwenda 1500

What a jerk.

Wapuuzi Sana, nimeona tukio Mzee mmoja akiwa riverside kwenda tegeta Kwa Tsh850/-

Kale kakonda na kanakaa na 50/- 50/- so ukitoka 1000/- utapokea 150 change,is okay ikiwa ni Halali..

Waweke vipeperushi vya bei wherever possible
 
Shida ni kwamba, hivi ni vikundi tu vimeundwa ili watu wapate kupiga mishahara minono nna posho
 
Wao Ratra watoe mwongozo waone daladala zikipaki. Nimeshuhudia mizozo mingi kwenye madaladala, bajaji. Sehemu iliyokuwa nauli 500 imekuwa 700. Iliyokuwa 1600 imeenda 2000. Pikipiki kutoka 1000 Kwenda 1500

What a jerk.

Wapuuzi Sana, nimeona tukio Mzee mmoja akiwa riverside kwenda tegeta Kwa Tsh850/-

Kale kakonda na kanakaa na 50/- 50/- so ukitoka 1000/- utapokea 150 change,is okay ikiwa ni Halali..

Waweke vipeperushi vya bei wherever possible
Mbona ndiyo ghalama ya Tegeta hiyo, tena huyo kapanda gari ya Segerea
 
Back
Top Bottom