Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,456
hivi huyu naye ni mhariri?fani imevamiwa...!Nimemsikia Frederick Sumaye akisema Serikali tatu ni mzigo kwa Tanzania ambayo uchumi wake si mkubwa. Anasema hata waasisi wa Muungano waliliona hilo. Amezungumza akiwa Afrika Kusini.
chanzo: BBC
Angalizo: Nadhani ana hoja
hivi huyu naye ni mhariri?fani imevamiwa...!
nji = Nchi?kama tunataka muungano ni aidha serekali moja ama mbili, laa sivyo ya ussr yatajirudia kuna raisi atakosa nji ya kuongoza!
Akili ya Sumaye ilishachoka siku nyingi, alishawahi kuhojiwa ni kwa nini Tanzania ni maskini akajibu hata yeye hajui ni kwa nini, imagine miaka 10 kama Waziri Mkuu hujui nchi ni kwa nini maskini ulikuwa unafanya nini kwenye hiyo nafasi?Nimemsikia Frederick Sumaye akisema Serikali tatu ni mzigo kwa Tanzania ambayo uchumi wake si mkubwa. Anasema hata waasisi wa Muungano waliliona hilo. Amezungumza akiwa Afrika Kusini.
chanzo: BBC
Angalizo: Nadhani ana hoja
mkuu nakumbuka mkwerre ndo kaulizwa hilo swali na sio Sumaye.Akili ya Sumaye ilishachoka siku nyingi, alishawahi kuhojiwa ni kwa nini Tanzania ni maskini akajibu hata yeye hajui ni kwa nini, imagine miaka 10 kama Waziri Mkuu hujui nchi ni kwa nini maskini ulikuwa unafanya nini kwenye hiyo nafasi?
Rasimu ya katiba mpya ni maoni yetu Wananchi yeye akafie Uyole kama anadhani hizi bado ni enzi za haambiliki.
Nimemsikia Frederick Sumaye akisema Serikali tatu ni mzigo kwa Tanzania ambayo uchumi wake si mkubwa. Anasema hata waasisi wa Muungano waliliona hilo. Amezungumza akiwa Afrika Kusini.
chanzo: BBC
Angalizo: Nadhani ana hoja
No data no research no right to speak, wa kwanza kuulizwa swali hili alikuwa ni Sumaye ila sikumbuki alikuwa nchi gani ya Ulaya, lakini alikuwa tayari ni Waziri Mkuu mstaafu. nina hakika na hili kwa asilimi 1000.mkuu nakumbuka mkwerre ndo kaulizwa hilo swali na sio Sumaye.
Mtu yeyote anayeitakia mema nchi hii hawezi kukubali serikali 3