Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,456
Nimemsikia Frederick Sumaye akisema Serikali tatu ni mzigo kwa Tanzania ambayo uchumi wake si mkubwa. Anasema hata waasisi wa Muungano waliliona hilo. Amezungumza akiwa Afrika Kusini.
chanzo: BBC
Angalizo: Nadhani ana hoja
chanzo: BBC
Angalizo: Nadhani ana hoja
