Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Anafanya maandalizi ya kupanda jukwaani kumpigia kampeni Jiwe , yeye na Lowassa soon mtawaona majukwaani .Jiwe anawalamisha wote wampigie kampeni ndio maana umeona Mpaka kina Mzee Makamba na macho hayaoni lakini wanapandishwa majukwaani msifikiri wanapenda .CCM sasa hivi wanapelekwa mwendo wa kihutu balaa , yanamuogopa kweli mhutu kichaa .