Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kuna mtu kazungumzia kuhusu miaka 48 ya uhuru na bado tunapeleka viongozi kwenda kuangaliwa afya zao kwa watawala wetu. Mimi naona mtindo huu kuwa mwendelezo wa ujinga wa Mwafrika na ni ushahidi tosha kuwa Miafrika haiwezi kujitegemea yenyewe.
Kila siku tunapokea misaada kutoka kwa wazungu. Hiyo misaada inasaidia nini hasa na inamsaidia nani maana maisha tunayoishi sisi Miafrika na kusikitisha. Najiuliza hapa tusipopata hiyo misaada maisha yetu yatakuwaje?
Tungekuwa na akili kama mnavyodai baadhi yenu basi mambo madogo madogo kama ya tiba na mengineyo tungekuwa tumeshayamudu zamani za kale. Mtu gani mwenye akili anaweza kuishi maisha kama waishio Waafrika? Tunajidanganya eti tuna rasilimali kibao tu za kutuletea maendeleo. Okay, sasa kwa nini tuko mafukara? Kwani tumewekwa hapa duniani jana? Tuko hapa duniani since the beginning of times (whenever that is) na tumeshindwa kuyamudu mazingira yetu na kuboresha maisha.
We are just a lost cause. Kuna nchi ngapi za Ulaya (supposedly) zisizo na rasilimali nyingi kama tulizonazo sisi lakini ukiangalia viwango vyao vya maendeleo vimetuacha kwa mbali tu.
Aaaaah sisi tuna matatizo kweli.
Kila siku tunapokea misaada kutoka kwa wazungu. Hiyo misaada inasaidia nini hasa na inamsaidia nani maana maisha tunayoishi sisi Miafrika na kusikitisha. Najiuliza hapa tusipopata hiyo misaada maisha yetu yatakuwaje?
Tungekuwa na akili kama mnavyodai baadhi yenu basi mambo madogo madogo kama ya tiba na mengineyo tungekuwa tumeshayamudu zamani za kale. Mtu gani mwenye akili anaweza kuishi maisha kama waishio Waafrika? Tunajidanganya eti tuna rasilimali kibao tu za kutuletea maendeleo. Okay, sasa kwa nini tuko mafukara? Kwani tumewekwa hapa duniani jana? Tuko hapa duniani since the beginning of times (whenever that is) na tumeshindwa kuyamudu mazingira yetu na kuboresha maisha.
We are just a lost cause. Kuna nchi ngapi za Ulaya (supposedly) zisizo na rasilimali nyingi kama tulizonazo sisi lakini ukiangalia viwango vyao vya maendeleo vimetuacha kwa mbali tu.
Aaaaah sisi tuna matatizo kweli.