Sumaye: Rais Samia anafanya kazi kubwa ya kurekebisha Uchumi ndio sababu tunaipitia hii hali ngumu ya maisha lakini kwa muda mfupi

Sumaye: Rais Samia anafanya kazi kubwa ya kurekebisha Uchumi ndio sababu tunaipitia hii hali ngumu ya maisha lakini kwa muda mfupi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mzee Sumaye amesema hata yeye na mzee Mkapa waliipokea nchi ikiwa katika bali ngumu sana ya kiuchumi mwaka 1995 kama ambavyo Rais Samia ameipokea.

Sumaye amesema walipoanza kurekebisha Uchumi maisha yakawa magumu zaidi kiasi cha Rais Mkapa kuitwa Ukapa lakini baada ya Muda mfupi maisha yakaboreka sana na kila mtu akamshangilia Mzee Mkapa.

Rais Samia anafanya kazi kubwa hivyo ni lazima tumtie moyo tusimkatishe tamaa kwa sababu yeye naye ni Binadamu nina uhakika 2030 kila Mtu atafurahia Uongozi huu, amesisitiza mzee Sumaye.

Chanzo: TBC Manyara
 
Vipi amemshauri njia zipi za haraka na za muda mfupi za kupunguza huu mgao mkali kabisa wa umeme? Khali sio nzuri huku mtaani.
 
Kwa uliyoyapitia siwezi kukulaumu Mzee wangu.
 
Yeye na Mkapa waliikuta nchi ina hali mbaya na Samia nae kaikuta nchi ipo taaban lakini 2030 wananchi wataelewa. Atakaechukua baada ya Samia nae ataimba singeli hiyohiyo. Huyu Mr zero asizan cc ni wajinga 2025 tupo na Bashiru.
 
Mzee Sumaye amesema hata yeye na mzee Mkapa waliipokea nchi ikiwa katika bali ngumu sana ya kiuchumi mwaka 1995 kama ambavyo Rais Samia ameipokea.

Sumaye amesema walipoanza kurekebisha Uchumi maisha yakawa magumu zaidi kiasi cha Rais Mkapa kuitwa Ukapa lakini baada ya Muda mfupi maisha yakaboreka sana na kila mtu akamshangilia Mzee Mkapa.

Rais Samia anafanya kazi kubwa hivyo ni lazima tumtie moyo tusimkatishe tamaa kwa sababu yeye naye ni Binadamu nina uhakika 2030 kila Mtu atafurahia Uongozi huu, amesisitiza mzee Sumaye.

Chanzo: TBC Manyara
Amemuuliza Samia mwenyewe kama bado anataka kuendelea kuwa Rais beyond 2025? Mr Zero ameamua kuwa chawa wa Samia
 
Back
Top Bottom