Sumaye: Tusifurahie Bunge la chama kimoja

Sumaye: Tusifurahie Bunge la chama kimoja

Baada ya Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuonyesha 'madudu' ya ubadhirifu wa fedha kwenye maeneo mbalimbali, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameibuka akisema Bunge linapaswa kuwa kali katika kuisimamia na kuishauri Serikali.

Sumaye aliyekuwa Waziri Mkuu kwa muongo mmoja kuanzia mwaka 1995 hadi 2005 katika utawala wa Awamu ya Tatu amesema kwa kawaida hakuna Serikali ya demokrasia inayokataa ushauri wa Bunge.

"Haya mambo yanapojitokeza mara kwa mara lazima tukubali kuna tatizo mahali fulani, kubwa kabisa ni Serikali lakini Bunge nalo halifuatili," alisema.

Sumaye anatoa kauli hiyo ikiwa ni takribani wiki mbili zimepita tangu Ripo-ti za CAG Charles Kichere kwa mwaka 2021/22 zilizowasilishwa bungeni jijini Dodoma.

Katika mahojiano kati ya Sumaye na televisheni ya mtandaoni ya Dar 24, yalijikita katika masuala mbalimbali yanayomhusu Sumaye na ripoti za CAG, alisema;

"Bunge lina kazi kubwa na linatakiwa liwe na ukali zaidi, ndiyo maana tunapenda Bunge lenye vyama mbalimbali kwa sababu ni afya kwa nchi.

"Hiki kitu watu hawakielewi, watu wanafikiri ukiwa na Bunge la chama kimoja, ndio njema, hapana. Ukiwa na Bunge la chama kimoja ndani ya mfumo wa vyama vingi ni tatizo," alisema.

Ripoti za CAG alizokuwa anajadili Sumaye zimeonyesha ubadhirifu kati-ka taasisi na mamlaka za Serikali, hali ambayo imewaibua wadau wakitaka hatua kali zichukuliwe dhidi ya wahusika.

Tayari Rais Samia Suluhu Hassan, amekwishaanza kuchukua hatua kwa kutengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) na kuivunja Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC).

Mbali na hilo, Rais Samia ametoa maagizo kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

DK Moses Kusiluka kuhakikisha makatibu wakuu na watendaji wakuu wote wa taasisi za Serikali wanapitia kwa kina taarifa ya CAG, wajibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote.

Bunge la sasa ambalo lilitokana na uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020, lina wabunge wengi wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), zaidi ya asilimia 90 huku upinzani wakiwa wachache tofauti na mabunge yaliyopita na wengine hawatambuliwi na vyama vyao.

Aprili 12 mwaka huu, Spika Tulia Ack-son alisema wabunge wanaruhusiwa kuijadili ripoti hiyo kwa namna wanavyoona inafaa lakini watambue kuwa Serikali haitalazimika kujibu kwa kuwa Kamati za Bunge Mashirika ya Umma (PAC) na ile ya Serikali za mitaa (LAAC) itapitia taarifa hiyo na itawasilishwa bungeni.
SERIKALI NDIO INATAKA BUNGE LA CHAMA KIMOJA NDIO MAANA ILIWATAFUTA WABUNGE FAKE 19 Kama DANGANYA TOTO kwa Wafadhili na ndio maana imekubali Kujitia HASARA YA Sh.Bil.8.2 kuwalipa MISHAHARA
dr_cyrilo_1681575841474354.jpg
 
Ndiyo maana anaitwa mr ziro.

Hajui kwamba wabunge hawajipeleki bungeni wanapelekwa na wananchi.

Huwezi kuwalazimisha wananchi wachague chama wasichokitaka.
2020 hapakuwa na uchaguzi kura zilipigwa siku 2 kabla ili marehemu apate 87% ccm mkwajuni watoto waliitwa na kupiga kura. Ushahidi upo
 
Baada ya Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuonyesha 'madudu' ya ubadhirifu wa fedha kwenye maeneo mbalimbali, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameibuka akisema Bunge linapaswa kuwa kali katika kuisimamia na kuishauri Serikali.

Sumaye aliyekuwa Waziri Mkuu kwa muongo mmoja kuanzia mwaka 1995 hadi 2005 katika utawala wa Awamu ya Tatu amesema kwa kawaida hakuna Serikali ya demokrasia inayokataa ushauri wa Bunge.

"Haya mambo yanapojitokeza mara kwa mara lazima tukubali kuna tatizo mahali fulani, kubwa kabisa ni Serikali lakini Bunge nalo halifuatili," alisema.

Sumaye anatoa kauli hiyo ikiwa ni takribani wiki mbili zimepita tangu Ripo-ti za CAG Charles Kichere kwa mwaka 2021/22 zilizowasilishwa bungeni jijini Dodoma.

Katika mahojiano kati ya Sumaye na televisheni ya mtandaoni ya Dar 24, yalijikita katika masuala mbalimbali yanayomhusu Sumaye na ripoti za CAG, alisema;

"Bunge lina kazi kubwa na linatakiwa liwe na ukali zaidi, ndiyo maana tunapenda Bunge lenye vyama mbalimbali kwa sababu ni afya kwa nchi.

"Hiki kitu watu hawakielewi, watu wanafikiri ukiwa na Bunge la chama kimoja, ndio njema, hapana. Ukiwa na Bunge la chama kimoja ndani ya mfumo wa vyama vingi ni tatizo," alisema.

Ripoti za CAG alizokuwa anajadili Sumaye zimeonyesha ubadhirifu kati-ka taasisi na mamlaka za Serikali, hali ambayo imewaibua wadau wakitaka hatua kali zichukuliwe dhidi ya wahusika.

Tayari Rais Samia Suluhu Hassan, amekwishaanza kuchukua hatua kwa kutengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) na kuivunja Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC).

Mbali na hilo, Rais Samia ametoa maagizo kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

DK Moses Kusiluka kuhakikisha makatibu wakuu na watendaji wakuu wote wa taasisi za Serikali wanapitia kwa kina taarifa ya CAG, wajibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote.

Bunge la sasa ambalo lilitokana na uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020, lina wabunge wengi wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), zaidi ya asilimia 90 huku upinzani wakiwa wachache tofauti na mabunge yaliyopita na wengine hawatambuliwi na vyama vyao.

Aprili 12 mwaka huu, Spika Tulia Ack-son alisema wabunge wanaruhusiwa kuijadili ripoti hiyo kwa namna wanavyoona inafaa lakini watambue kuwa Serikali haitalazimika kujibu kwa kuwa Kamati za Bunge Mashirika ya Umma (PAC) na ile ya Serikali za mitaa (LAAC) itapitia taarifa hiyo na itawasilishwa bungeni.
Sidhani kama kuna watu wengi na wa maana, wanaofurahia bunge la chama kimoja. Kwa hakika aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja ambaye wengi tunaamini hakuwa timamu. Naye huyo mwenyewe baada ya kufanya uharibifu wake aliofanya, dakika za mwisho kujua kuwa alichofanya ni usaliti mkubwa kwa taifa hili aliwehuka zaidi na kubuni ufumbuzi wa kosa lake kwa kosa lingine la wabunge wa upinzani kupitia viti maalum nje ya utaratibu uliowekwa. Watu wenye mapenzi mema, na zaidi hasa wazee wa nchi hii wanaofahamu nchi ilipotoka waache kutuimbia ngonjera zisizo na tija. Badala yake watutangulie katika hoja za msingi: mojawapo ni tafakuri ya kina ya nini kilitokea vyombo vyote vya nchi hii vikaacha kutumikia nchi na badala yake vyote vikamtumikia mtu mmoja? Na je, vyombo hivi havistahili kuwajibishwa?
 
Baada ya Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuonyesha 'madudu' ya ubadhirifu wa fedha kwenye maeneo mbalimbali, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameibuka akisema Bunge linapaswa kuwa kali katika kuisimamia na kuishauri Serikali.

Sumaye aliyekuwa Waziri Mkuu kwa muongo mmoja kuanzia mwaka 1995 hadi 2005 katika utawala wa Awamu ya Tatu amesema kwa kawaida hakuna Serikali ya demokrasia inayokataa ushauri wa Bunge.

"Haya mambo yanapojitokeza mara kwa mara lazima tukubali kuna tatizo mahali fulani, kubwa kabisa ni Serikali lakini Bunge nalo halifuatili," alisema.

Sumaye anatoa kauli hiyo ikiwa ni takribani wiki mbili zimepita tangu Ripo-ti za CAG Charles Kichere kwa mwaka 2021/22 zilizowasilishwa bungeni jijini Dodoma.

Katika mahojiano kati ya Sumaye na televisheni ya mtandaoni ya Dar 24, yalijikita katika masuala mbalimbali yanayomhusu Sumaye na ripoti za CAG, alisema;

"Bunge lina kazi kubwa na linatakiwa liwe na ukali zaidi, ndiyo maana tunapenda Bunge lenye vyama mbalimbali kwa sababu ni afya kwa nchi.

"Hiki kitu watu hawakielewi, watu wanafikiri ukiwa na Bunge la chama kimoja, ndio njema, hapana. Ukiwa na Bunge la chama kimoja ndani ya mfumo wa vyama vingi ni tatizo," alisema.

Ripoti za CAG alizokuwa anajadili Sumaye zimeonyesha ubadhirifu kati-ka taasisi na mamlaka za Serikali, hali ambayo imewaibua wadau wakitaka hatua kali zichukuliwe dhidi ya wahusika.

Tayari Rais Samia Suluhu Hassan, amekwishaanza kuchukua hatua kwa kutengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) na kuivunja Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC).

Mbali na hilo, Rais Samia ametoa maagizo kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

DK Moses Kusiluka kuhakikisha makatibu wakuu na watendaji wakuu wote wa taasisi za Serikali wanapitia kwa kina taarifa ya CAG, wajibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote.

Bunge la sasa ambalo lilitokana na uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020, lina wabunge wengi wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), zaidi ya asilimia 90 huku upinzani wakiwa wachache tofauti na mabunge yaliyopita na wengine hawatambuliwi na vyama vyao.

Aprili 12 mwaka huu, Spika Tulia Ack-son alisema wabunge wanaruhusiwa kuijadili ripoti hiyo kwa namna wanavyoona inafaa lakini watambue kuwa Serikali haitalazimika kujibu kwa kuwa Kamati za Bunge Mashirika ya Umma (PAC) na ile ya Serikali za mitaa (LAAC) itapitia taarifa hiyo na itawasilishwa bungeni.
Wajinga ndiyo waliwao. Faida ya multiparty ni kichukua dola ili utekeleze ilani ya Chama. Rais na mawaziri na wabunge na madiwani wanawajibika na hiyo Ilani, wasipotekeleza watatoka wote haijalishi huyu ni Mbunge au Waziri au IGP. Kelele za bungeni zilikuwapo 107 na zaidi kabla matusi ya tundulissu hayajawasambaratisha kabaki mmoja lakini mwisho wake ni kura siyo kelele. Samia ataanguka na kushuka, kupanda na kupeta, kwa jinsi Ilani inavyotekelezwa, siyo kw kumfukuza Boharia wa ATC. Kura 2025 zitaangali sera in totality, siyo nani aliiba ng'ombe. Dhana ya CHADEMA kwamba bunge liwe kari kw Rais wake au Waziri Bashe ni dhana potofu, haiwezekani. It will be handled internally.
 
Back
Top Bottom