Sumbawanga: Head Master wa Chanji Sekondari akutwa amejinyonga kwenye pagala lake

Sumbawanga: Head Master wa Chanji Sekondari akutwa amejinyonga kwenye pagala lake

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Mtu mmja ambae alikuwa ni Mkuu wa shule ya sekondari Chain bwana Peter Sewa amekutwa Amejinyonga Kwenye eneo la site alikokuwa anaendelea na ujenzi wa nyumba yake.

Polisi na familia wamethibitisha.
----
MKUU WA SHULE AJINYONGA HADI KUFA

Mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 39 aliyetambulika kwa jina la Peter Mwile Sewa aliyekuwa mkuu wa shule ya sekondari ya chanji iliyopo katika kata ya chanji Halmashauri ya manispaa ya sumbawanga mkoani Rukwa amekutwa amejinyonga hadi kufa katika nyumba aliyokuwa akiijenga katika eneo la Utengule mkoani humo

Wakizungumza ndugu wa Marehemu pamoja na majirani wamesema Marehemu aliondoka nyumbani September 18 na kuelekea eneo lake la ujenzi ambapo baada ya muda mrefu kupita bila kuwa na mawasiliano na familia mke wa marehemu aliingiwa hofu na kuanza kutafuta marafiki zake ambapo waliamua kwenda katika eneo hilo na kukuta mwili huo.

Soma Pia: Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo


Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo mwenyekiti wa mtaa wa kaungwa John Mlumba Kubini amesema alipata taarifa hizo saanane usiku wa kuamkia leo, ambapo pamoja na mambo mengine ameitaka jamii kutokuchukua maamuzi ya haraka wanapo kuwa na matatizo na badala yake ni vyema kushirikisha watu wakaribu au viongozi ili kupata ufumbuzi.

--
My Take
Sio kawaida Kwa Walimu kuwa na stress ,hii imekuwa Mpya
 
Hebu subiri

Ameondoka 18th

Mke akapata hofu, naamini 18th usiku baada ya kuona harudi

Kisha 19th akachukuana na marafiki wa mume (mashemeji) kwenda eneo hilo.

Hili eneo alikua hawezi kwenda peke yake? Mtu akipotea taarifa tunatoa polisi yeye katoa kwa mashemeji?
 
HYU WAMEMTANGULIZA
SUMBA [WANGA]
BALAAA KUBWAAAAA

MKWE WANGU WAKIZALIWA 10 W
WALIPOFIKA 45 yrs. WAKANZA KUFA WAWILI WAWILI KILA MWAKA...WALIPOBAKI WANNE

AKAUZA KILA KITYU CHAKE AKAHAMIA MOSHI AKAJENGA HUKO UKIENDA HUAMINI KAZALIA HUKO WATOTO

HATAKI KUSIKIA KABISA HIVI NAANDIKA HATA WALE WATATU WAMEISHA. WA MWISHO KATANGULIZWA MWAKAJUZI

YAAN AKISIKIA MSIBA ANAWAMBIA POLEN ZIKEN TU..AJAWAHI KWENDA HATA MAZIKO YA KAKAKE NABDADA ZAKE

INAITWA
SUMBAWANGA
Mtu mmja ambae alikuwa ni Mkuu wa shule ya sekondari Chain bwana Peter Sewa amekutwa Amejinyonga Kwenye eneo la site alikokuwa anaendelea na ujenzi wa nyumba yake.

Polisi na familia wamethibitisha.
----
MKUU WA SHULE AJINYONGA HADI KUFA

Mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 39 aliyetambulika kwa jina la Peter Mwile Sewa aliyekuwa mkuu wa shule ya sekondari ya chanji iliyopo katika kata ya chanji Halmashauri ya manispaa ya sumbawanga mkoani Rukwa amekutwa amejinyonga hadi kufa katika nyumba aliyokuwa akiijenga katika eneo la Utengule mkoani humo

Wakizungumza ndugu wa Marehemu pamoja na majirani wamesema Marehemu aliondoka nyumbani September 18 na kuelekea eneo lake la ujenzi ambapo baada ya muda mrefu kupita bila kuwa na mawasiliano na familia mke wa marehemu aliingiwa hofu na kuanza kutafuta marafiki zake ambapo waliamua kwenda katika eneo hilo na kukuta mwili huo.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo mwenyekiti wa mtaa wa kaungwa John Mlumba Kubini amesema alipata taarifa hizo saanane usiku wa kuamkia leo, ambapo pamoja na mambo mengine ameitaka jamii kutokuchukua maamuzi ya haraka wanapo kuwa na matatizo na badala yake ni vyema kushirikisha watu wakaribu au viongozi ili kupata ufumbuzi.

--
My Take
Sio kawaida Kwa Walimu kuwa na stress ,hii imekuwa Mpy
 
Mtu mmja ambae alikuwa ni Mkuu wa shule ya sekondari Chain bwana Peter Sewa amekutwa Amejinyonga Kwenye eneo la site alikokuwa anaendelea na ujenzi wa nyumba yake.

Polisi na familia wamethibitisha.
----
MKUU WA SHULE AJINYONGA HADI KUFA

Mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 39 aliyetambulika kwa jina la Peter Mwile Sewa aliyekuwa mkuu wa shule ya sekondari ya chanji iliyopo katika kata ya chanji Halmashauri ya manispaa ya sumbawanga mkoani Rukwa amekutwa amejinyonga hadi kufa katika nyumba aliyokuwa akiijenga katika eneo la Utengule mkoani humo

Wakizungumza ndugu wa Marehemu pamoja na majirani wamesema Marehemu aliondoka nyumbani September 18 na kuelekea eneo lake la ujenzi ambapo baada ya muda mrefu kupita bila kuwa na mawasiliano na familia mke wa marehemu aliingiwa hofu na kuanza kutafuta marafiki zake ambapo waliamua kwenda katika eneo hilo na kukuta mwili huo.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo mwenyekiti wa mtaa wa kaungwa John Mlumba Kubini amesema alipata taarifa hizo saanane usiku wa kuamkia leo, ambapo pamoja na mambo mengine ameitaka jamii kutokuchukua maamuzi ya haraka wanapo kuwa na matatizo na badala yake ni vyema kushirikisha watu wakaribu au viongozi ili kupata ufumbuzi.

--
My Take
Sio kawaida Kwa Walimu kuwa na stress ,hii imekuwa Mpya
Utasikia mtu anauliza
Picha yake pls
 
Back
Top Bottom