Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Fyuuuuu povu limekutokaWewe ni mbumbumbu unadhani Sumbawanga ndio Kuna wachawi hapo ulipo hakuna ,ndio maana popobawa anawapitia.
Natoa sh...kijana ila hakufai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fyuuuuu povu limekutokaWewe ni mbumbumbu unadhani Sumbawanga ndio Kuna wachawi hapo ulipo hakuna ,ndio maana popobawa anawapitia.
Hiki ndio ulichokariri ujibu kila thread? Nenda jukwaa la vichekesho nduguDuh!utekaji umetamalaki Kila Kona ya Nchi.Taifa linaenda wapi?
Fifunze kuandika bas na wewe unakuwa kama mwalimu wa madrrasamnaoishi sumbawanga nawaheshimu sana mko vizuri ......yaan siku mkewangu ananiamba baba n wa sumbawanga nilifunga 7days Mungu anionesehe anafaa kuolewa ama lah kila saa nawaza sumbawanga
Sawa kichaaUna akili zako ndogo sana
USSR
Fuatilia mwaka 2008 hii I'd ilikuwa inaandika hoja nzito lakini siku hizi sijui imekuwajeFifunze kuandika bas na wewe unakuwa kama mwalimu wa madrrasa
Duuh hatari!Mtu mmja ambae alikuwa ni Mkuu wa shule ya sekondari Chain bwana Peter Sewa amekutwa Amejinyonga Kwenye eneo la site alikokuwa anaendelea na ujenzi wa nyumba yake.
Polisi na familia wamethibitisha.
----
MKUU WA SHULE AJINYONGA HADI KUFA
Mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 39 aliyetambulika kwa jina la Peter Mwile Sewa aliyekuwa mkuu wa shule ya sekondari ya chanji iliyopo katika kata ya chanji Halmashauri ya manispaa ya sumbawanga mkoani Rukwa amekutwa amejinyonga hadi kufa katika nyumba aliyokuwa akiijenga katika eneo la Utengule mkoani humo
Wakizungumza ndugu wa Marehemu pamoja na majirani wamesema Marehemu aliondoka nyumbani September 18 na kuelekea eneo lake la ujenzi ambapo baada ya muda mrefu kupita bila kuwa na mawasiliano na familia mke wa marehemu aliingiwa hofu na kuanza kutafuta marafiki zake ambapo waliamua kwenda katika eneo hilo na kukuta mwili huo.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo mwenyekiti wa mtaa wa kaungwa John Mlumba Kubini amesema alipata taarifa hizo saanane usiku wa kuamkia leo, ambapo pamoja na mambo mengine ameitaka jamii kutokuchukua maamuzi ya haraka wanapo kuwa na matatizo na badala yake ni vyema kushirikisha watu wakaribu au viongozi ili kupata ufumbuzi.
--
My Take
Sio kawaida Kwa Walimu kuwa na stress ,hii imekuwa Mpya
Headmaster wa shule ya Sekondari sio Mwalimu Mkuu shule ya Msingi, uwe unaelewa unachoambiwa na pia maisha ya Msoto kwa mwalimu sio kitu cha kumfanya ajitundike maana km kuna watu wanakula msoto basi walimu wanaweza wakawa front lineWalimu hawa hawa???
Kwamba alitukana ukweni kwake au ndo kuna magaano ya wakwe wakifika umri fulani wanapata changamoto ..? Maana kwa maelezo yake kwa uchache ukweni kuna maagano yanayosumbua ukoo mzima. (ziko madhabu zinazonena uharibifu)Fuatilia mwaka 2008 hii I'd ilikuwa inaandika hoja nzito lakini siku hizi sijui imekuwaje
WamemnyoooshaSwanga gunia la mahindi ni shilingi elfu kumi na tano, huyo kanyongwa
Sio kwamba wewe ndio unatakiwa uende darasani labda?Fifunze kuandika bas na wewe unakuwa kama mwalimu wa madrrasa
Da!!! mwenye kamba ya kujinyongea marehm,kuna milioni 10 hapa,aje 2fanye transaction!!Mtu mmja ambae alikuwa ni Mkuu wa shule ya sekondari Chain bwana Peter Sewa amekutwa Amejinyonga Kwenye eneo la site alikokuwa anaendelea na ujenzi wa nyumba yake.
Polisi na familia wamethibitisha.
----
MKUU WA SHULE AJINYONGA HADI KUFA
Mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 39 aliyetambulika kwa jina la Peter Mwile Sewa aliyekuwa mkuu wa shule ya sekondari ya chanji iliyopo katika kata ya chanji Halmashauri ya manispaa ya sumbawanga mkoani Rukwa amekutwa amejinyonga hadi kufa katika nyumba aliyokuwa akiijenga katika eneo la Utengule mkoani humo
Wakizungumza ndugu wa Marehemu pamoja na majirani wamesema Marehemu aliondoka nyumbani September 18 na kuelekea eneo lake la ujenzi ambapo baada ya muda mrefu kupita bila kuwa na mawasiliano na familia mke wa marehemu aliingiwa hofu na kuanza kutafuta marafiki zake ambapo waliamua kwenda katika eneo hilo na kukuta mwili huo.
Soma Pia: Mwalimu ajinyonga huko Moshi kisa riba kubwa ya mkopo
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo mwenyekiti wa mtaa wa kaungwa John Mlumba Kubini amesema alipata taarifa hizo saanane usiku wa kuamkia leo, ambapo pamoja na mambo mengine ameitaka jamii kutokuchukua maamuzi ya haraka wanapo kuwa na matatizo na badala yake ni vyema kushirikisha watu wakaribu au viongozi ili kupata ufumbuzi.
--
My Take
Sio kawaida Kwa Walimu kuwa na stress ,hii imekuwa Mpya