Sumbawanga: Head Master wa Chanji Sekondari akutwa amejinyonga kwenye pagala lake

Duuh hatari!
 
Fuatilia mwaka 2008 hii I'd ilikuwa inaandika hoja nzito lakini siku hizi sijui imekuwaje
Kwamba alitukana ukweni kwake au ndo kuna magaano ya wakwe wakifika umri fulani wanapata changamoto ..? Maana kwa maelezo yake kwa uchache ukweni kuna maagano yanayosumbua ukoo mzima. (ziko madhabu zinazonena uharibifu)

Sasa na yeye kama mdau wa ukoo ambao Baba mkwe kakimbia mji kuna uwezekano kapatwa na mambo ya kutisha.. Kuna maagano hata mtu ukimbilie Ulaya madhabau za giza zilizo inuliwa bado zitaendelea kunena ubaya na mateso tu juu yako.
 
Da!!! mwenye kamba ya kujinyongea marehm,kuna milioni 10 hapa,aje 2fanye transaction!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…