Acha uongoMpaka nimetokwa na machozi
Uko safi lakini?Mbona kwenye bandiko hakujaripotiwa uchawi ni mauaji ya silaha za kijadi tu
Niliwahi kusikia wakati wa Mwalimu Nyerere, mwalimu aliwahi kulazimika kusaini kifo kwa mhalifu mmoja aliyewahi kumuua Mkuu wa Mkoa kwa kumpiga risasi halafu akauchukua mwili wake na kwenda kuukabdihi kituo cha polisiLaiti ningekuw Rais kuna Kesi aisee wakihukumiwaa Kunyongwaa ni faster nasainii wakale kitanzii...!! Watu kama hawa ni kunyongaaaaa hadharani tena.
Majuzi wanaharakati wamesema wanapinga adhabu ya kifo kwa watu walioua wenzao, kwa ukatili kama huu inafika mahali unaona hiyo adhabu wanastahili kabisaAlisema watuhumiwa hao bado wanashikiliwa na Polisi na watafikishwa mahakamani mara baada ya uchunguzi wa awali kukamilika.
Siyo kweliSumbawanga ni wachawi aisee
Dr. Kleruu alikuwa mnyanyasaji sana,Niliwahi kusikia wakati wa Mwalimu Nyerere, mwalimu aliwahi kulazimika kusaini kifo kwa mhalifu mmoja aliyewahi kumuua Mkuu wa Mkoa kwa kumpiga risasi halafu akauchukua mwili wake na kwenda kuukabdihi kituo cha polisi
Ila?Siyo kweli
KweliMajuzi wanaharakati wamesema wanapinga adhabu ya kifo kwa watu walioua wenzao, kwa ukatili kama huu inafika mahali unaona hiyo adhabu wanastahili kabisa
Kabisa mzee
Waache wale stahiki yaoWapumbavu hao, watavuna uovu wao
Very sadAiseee