Sumbawanga: Mfanyabiashara azikwa akiwa hai

Sumbawanga: Mfanyabiashara azikwa akiwa hai

Hakuna watu wenye roho mbaya
Kama WATANZANIA ukitaka unique
Roho zao zilivyo ingia kwenye 18
Zao

Ova
 
Yote haya yanatokana na umaskini uliokithiri,jamii inayoshirikiana watu wanne above 30 kuiba kiasi cha pesa chini ya million 5 tena kinachosababisha mauti ya mtu huwezi kuitenganisha na umaskini.
 
Laiti ningekuw Rais kuna Kesi aisee wakihukumiwaa Kunyongwaa ni faster nasainii wakale kitanzii...!! Watu kama hawa ni kunyongaaaaa hadharani tena.
Niliwahi kusikia wakati wa Mwalimu Nyerere, mwalimu aliwahi kulazimika kusaini kifo kwa mhalifu mmoja aliyewahi kumuua Mkuu wa Mkoa kwa kumpiga risasi halafu akauchukua mwili wake na kwenda kuukabdihi kituo cha polisi
 
Niliwahi kusikia wakati wa Mwalimu Nyerere, mwalimu aliwahi kulazimika kusaini kifo kwa mhalifu mmoja aliyewahi kumuua Mkuu wa Mkoa kwa kumpiga risasi halafu akauchukua mwili wake na kwenda kuukabdihi kituo cha polisi
Dr. Kleruu alikuwa mnyanyasaji sana,
 
Kuna mahali huwa naenda kununua mahindi mkoani. Nikipatana na muuzaji aidha kwenye simu au kwa mdomo kwamba nakuja leo,ujue hyo ni kesho au nikimwambia nakuja ujue nimeshafika eneo la tukio au nikiwa nae baada ya kumalizana katika biashara naweza kumnunulia hata pombe na nikamwambia bado nipo.

Atakuja kushituka mimi nimeshaondoka na hapo mpaka aniulize ndyo atajua nimeshaondoka

SIJUI KWANINI HUWA NAFANYA HIVYO
 
Majuzi wanaharakati wamesema wanapinga adhabu ya kifo kwa watu walioua wenzao, kwa ukatili kama huu inafika mahali unaona hiyo adhabu wanastahili kabisa
Kweli
 
Back
Top Bottom