GAS STATE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,770
- 954
Asallam
nimeshtushwa na Habari toka mkoani Sumbawanga juu ya uwindaji na ulaji wa panya pori.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara mkuu wa mkoa wa Sumbawanga ndugu Joachim Wangabo amemuagiza mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr Khalfa Haule kuua panya kwa sumu ili kulinda misitu ambayo huchomwa moto na wananchi katika harakati za kuwinda panya. Ikumbukwe kuwa ili wawapate panya kwa urahisi wawindaji hao huchoma moto misitu then panya hukimbilia mashimoni na baadae huchimbwa na kuwapata bila usumbufu.
JOACHIM WANGABO RC SUMBAWANGA AKIONGEA NA WANANCHI
Panya wakiuzwa
Hoja yangu sio ulaji wa panya kwani ni msosi kama ilivyo mingine ila je ni asili yao au kwa sababu ya vyuma kukaza?
Kama ni asili kwa nini sio maarufu kama ilivyo mikoa mingine ambayo nayo kiumbe huyu ni fursa kwao.
WENYE UZOEFU NA SUMBAWANGA WATUJUZE ULAJI WA HAWA WADUDU MMEANZA LINI? JE SOKONI WANAPATIKANA?
Source: Global Publishers
nimeshtushwa na Habari toka mkoani Sumbawanga juu ya uwindaji na ulaji wa panya pori.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara mkuu wa mkoa wa Sumbawanga ndugu Joachim Wangabo amemuagiza mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr Khalfa Haule kuua panya kwa sumu ili kulinda misitu ambayo huchomwa moto na wananchi katika harakati za kuwinda panya. Ikumbukwe kuwa ili wawapate panya kwa urahisi wawindaji hao huchoma moto misitu then panya hukimbilia mashimoni na baadae huchimbwa na kuwapata bila usumbufu.
JOACHIM WANGABO RC SUMBAWANGA AKIONGEA NA WANANCHI
Panya wakiuzwa
Hoja yangu sio ulaji wa panya kwani ni msosi kama ilivyo mingine ila je ni asili yao au kwa sababu ya vyuma kukaza?
Kama ni asili kwa nini sio maarufu kama ilivyo mikoa mingine ambayo nayo kiumbe huyu ni fursa kwao.
WENYE UZOEFU NA SUMBAWANGA WATUJUZE ULAJI WA HAWA WADUDU MMEANZA LINI? JE SOKONI WANAPATIKANA?
Source: Global Publishers