Pre GE2025 Sumbawanga yafanya usafi wa mazingira kwa ushirikiano wa Viongozi wa CCM na Wananchi

Pre GE2025 Sumbawanga yafanya usafi wa mazingira kwa ushirikiano wa Viongozi wa CCM na Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa mapema leo Viongozi,Wananchi, Wafanyabiashara, Viongozi wa Serikali na siasa wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Taasisi na Watumishi wamefanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Sumbawanga ikiwa ni pamoja na barabara za Mjini na Stendi ya Sokomatola.

Soma Pia Rukwa: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Kukiwa na kauli mbiu ya “TUNZA MAZINGIRA YAKUTUNZE” Usibaki nyuma Mtu ni Afya.

Snapinst.app_475577637_18317466562162204_7797008089464927857_n_1080.jpg
Snapinst.app_475790420_18317466568162204_5099124846383869154_n_1080.jpg
Snapinst.app_475842979_18317466547162204_7772472221747174083_n_1080.jpg
 
Back
Top Bottom