SUMMIT NI FURSA AU JAU

SUMMIT NI FURSA AU JAU

Ludoby

Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
37
Reaction score
55
Wanajamvi nimefatilia tangazo la kamanda Muliro limenipa maswali kidogo kuhusu kufungwa kwa barabara kwa ajili ya mkutano wa SUMMIT. Je, ni sawa maana mm naona kana kwamba inapunguza fursa za watafutaji katika harakati za mjini.

Je, kusingekua na mbadala wake walau kufungwa upande mmoja ili walau traffic waongoze watu japo itakuwa kwa hali ngumu?

Wategemea uchumi wa kawaida kwa safar za kila siku itawarudisha nyuma kiasi fulani!!🤔🤔🤔

My country TZ inamengi sana🫣
 
Kwa wenye hoteli za kifahari kwao ni frusa, watendaji wa serikali wanahusika na ugeni huu na mkutano huu kwao ni frusa sana, watu wa ulinzi askari na wanausalama kwao ni frusa sana.
 
Mikutano Huwa inamanufaa Kwa Nchi zinazojitambua lakini ni hasara Kwa Nchi ambazo viongozi wake hawajitambui.
 
Kwa wenye hoteli za kifahari kwao ni frusa, watendaji wa serikali wanahusika na ugeni huu na mkutano huu kwao ni frusa sana, watu wa ulinzi askari na wanausalama kwao ni frusa sana.
Tanzania Yetu
 
Back
Top Bottom