evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Utakuwa Jirani yangu weweNenda Juliana mbezi beach muulize mmiliki ile baa/guest/restaurant aliwamalizaje paka kitaani kwetu.
Zipo nyingi ila 'Bunduki Risasi Poison' inafaa zaidi kuliko zote Mkuu na nakushauri itumia hii hao Mbwa na Paka watakuwa ni Historia hapo Kwako.Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani
Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
Mkuu ya panya ya unga Ni nouma huondoa mapaka shume mtaaniMkuu niliweka kwenye nyama tena ile sumu ya vidonge
Jamani mi naulizia Njia nzuri ya kuua mnazi,
Kuna Jirani yangu alipanda mnazi wake mpakani kabisa sasa umekuwa mkubwa unaleta kero Sana nimempa pesa aukate kachukua pesa halafu kakataa kuukata.
Sasa nataka Njia ya kuua kwa kuukausha kimyakimya.
Namomba anayejua namna ya kuua mti huo mnazi
Jamani mi naulizia Njia nzuri ya kuua mnazi,
Kuna Jirani yangu alipanda mnazi wake mpakani kabisa sasa umekuwa mkubwa unaleta kero Sana nimempa pesa aukate kachukua pesa halafu kakataa kuukata.
Sasa nataka Njia ya kuua kwa kuukausha kimyakimya.
Namomba anayejua namna ya kuua mti huo mnazi
Aisee hata mi mbwa kasababisha kuku wamekimbiaSamahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani
Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
Yawezekana.Utakuwa Jirani yangu wewe
Changanya piriton 20 halafu mtegee kwenye chakula chake. Ukiona piriton Ni ghali Basi wekea yeye paracetamol 20 au Panadol 20.Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani
Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
We mwanga nini?Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani
Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
Nyama yenye chumvi kidogo na maziwa yenye sukari kidogo toshaJamani mi naulizia Njia nzuri ya kuua mnazi,
Kuna Jirani yangu alipanda mnazi wake mpakani kabisa sasa umekuwa mkubwa unaleta kero Sana nimempa pesa aukate kachukua pesa halafu kakataa kuukata.
Sasa nataka Njia ya kuua kwa kuukausha kimyakimya.
Namomba anayejua namna ya kuua mti huo mnazi
Nenda duka la dawa za kilimo na mifugo waambie sumu inaitwa DYMECAL ni chenga Kama sukari,wanaanzia kuuza kupima robo kilo ni sh.7,500 tafuta maduka makubwa unaweza kuipata,na inabidi ujieleze vizuri saana ndipo unaweza kuuziwa,Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani
Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
Mbwa sio wakeDuuh,viumbe nyie yaani mnatumia bundle zenu kujadili jinsi ya kutoa kiumbe uhai,hivyo vifaranga vikikua utachinja ule na pilau na firigisi zake,utajisikiaje pale umeshika tonge halafu mbwa wa jirani anabweka wewe wakwako umempa sumu ili uje kulifaidi jogoo peke yako?.Jaribu kutengeneza banda litakalo mzuia huyo mbwa kula hivyo vifaranga,au mgawe huyo mbwa kuliko hii jinai unataka kuifanya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hili tatizo niliwahi kulipata, nilitumia sumu zote zilidunda, hiyo ya kilimo DYMECAL ilifeli
Hadi nikaamua kutumia mbinu hii!.
Nilichukua net hizi za nailoni za mbu nikailaza chini then nikaisapoti na vijiti ili kupata uwazi wa mbwa kuingia saizi yake tu pasipo kumpa nafasi ya kugeuka, lengo no kuwa akiingia akitaka kugeuka aivae neti! Halafu ndani nikatia kipande cha nyama!
Nifanikiwa kunasa mmoja mmoja! Nikachukua sindano ya mifugo, na sumu nikawa nawadunga dk 5 nyingi!