Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Sumu ni kitu kinachoweza kusababisha kuumwa au kifo pale kinapoingia mwilini. Mara nyingi binadamu amekuwa makini na vitu anavyokula, kupaka mwilini, au kunywa ili asiingize sumu mwilini na kupata madhara. Pia sumu inaweza kuingia mwilini kwa kuvuta hewa, kuliwa, kupakwa au kugusa ngozi.
Aina nyingine ya sumu ni ile inayoingia katika akili. Kuna vitu unasikia, kusoma au kuona kisha vinakaa kwenye mind na kuathiri afya, hata kusababisha kifo.
Mkuu, Kuna namna yoyote ya kuondoa sumu iliyoingia katika 'akili' kabla haijaleta madhara makubwa?
Mkuu, Kuna namna yoyote ya kuondoa sumu iliyoingia katika 'akili' kabla haijaleta madhara makubwa?
Na mimi ninataka kuuliza, kwa nini ukila sumu ufe hua inaenda wapi hasa ndani ya mwili
Na kwa nini binaadamu akila asali hafi lakini mbuzi anakufa?
Sumu ni kitu kinachoweza kusababisha kuumwa au kifo pale kinapoingia mwilini. Mara nyingi binadamu amekuwa makini na vitu anavyokula, kupaka mwilini, au kunywa ili asiingize sumu mwilini na kupata madhara. Pia sumu inaweza kuingia mwilini kwa kuvuta hewa, kuliwa, kupakwa au kugusa ngozi.
Aina nyingine ya sumu ni ile inayoingia katika akili. Kuna vitu unasikia, kusoma au kuona kisha vinakaa kwenye mind na kuathiri afya, hata kusababisha kifo.
Naomba kujua uhusiano wa tango na asali ni vp vitu hivi ukila kwa pamoja hugeuka sumu?
Ipo kabisa. Ni precedure ya kurudisha au kupunguza "sumu" katika akili na inachukua muda kutegemea ni aina gani ya athari na kiwango cha "sumu" hiyo. Therapists wengi wanafanya hii lakini kuna case tofauti na ujuzi tofauti.
Naomba kujua uhusiano wa tango na asali ni vp vitu hivi ukila kwa pamoja hugeuka sumu?