hiyo pia ni aina mojawapo ya vita, kwani kwenye vita watu hawafi??????????
Aisee natamani nikuone ulivyo maana?
Nakutumia picha yangu....
Thubutuuuuu muulize Majigo atakupa taarifa....kweli huwa inatokea, jaribu kufatilia nani huwa anaumia zaidi baada ya hapo. Najua wanawake huwa mnalipuka halafu mnanywea=kuufyata.
Nshajaribu sijaungua wala kulipuka.....wewe dada mbishi sana, wewe jaribu halafu utaona moto wake, ila ninchojua hatakuchekea bali atanuna kwa muda halafu maisha yanaendelea kama kawa, hebu gusa wewe uone utakavyoungua.
Hata wanaume wenzio hawakuungi mkono
lete ushahidi maana kwa ushahidi wa avatar(japo wengine wansema sijui miss chagga kumbe mwanaume) tu hapa mwanaume mmoja tu kapinga na waliobaki wamakubaliana na mimi, pia mdada mmoja kaniunga mkono wazi wazi.
Majigo yupi? ninayemfahamu mimi au mwingine? yule ni mkurya.
NTASHUKURU sijui uta ni pm au nikupe namba ya whatsaap au email?
Mnipe masanduku yenu ya posta na hela za stamp....tafadhari na mimi nicopy.
subilia siku ya 40 ifike utasema kama si kuimba.
Mnipe masanduku yenu ya posta na hela za stamp....
Atakupitia then anasepaaaaaa....unabaki na storyna kwa wanaume ni kubeba ndugu yake tu