JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,957
- Thread starter
- #61
hiyo pia ni aina mojawapo ya vita, kwani kwenye vita watu hawafi??????????
kumbe leo ndo nimejua yale maneno kuwa wateja wengi wa waganga wa kienyeji yaani sangoma ni wanawake, kumbe kisa ni hiki, hapa wanaume lazima na sisi tunyoke kwa mtindo huu.