R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Jan 30, 2021 #21 Moja ya sababu kubwa ya Tanzania kutolewa mapema ni uzembe wa beki ya kati, walishindwa kuanzisha mashambulizi badala yake wakawa wanabutua mipira ovyo pia walishindwa kutuliza timu pale inaposhambuliwa kwa kifupi pengo la Nyoni lilionekana wazi.
Moja ya sababu kubwa ya Tanzania kutolewa mapema ni uzembe wa beki ya kati, walishindwa kuanzisha mashambulizi badala yake wakawa wanabutua mipira ovyo pia walishindwa kutuliza timu pale inaposhambuliwa kwa kifupi pengo la Nyoni lilionekana wazi.
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Jan 30, 2021 #22 Will jr said: Amesema ukweli,Mwamnyeto ukimweka Real anakichafua na Ramos vizuri sn Click to expand... Wewe na huyo mzee mmevuta bhangi za wapi?
Will jr said: Amesema ukweli,Mwamnyeto ukimweka Real anakichafua na Ramos vizuri sn Click to expand... Wewe na huyo mzee mmevuta bhangi za wapi?
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Jan 30, 2021 #23 chenjichenji said: Tunabonyeza namba ngapi?. Click to expand... Kupata hizi katuni au?
P permanides JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 11,682 Reaction score 14,241 Jan 30, 2021 #24 ngajapo said: mi nimeongea mara nyingi sana kwenye hili jukwaa: mwamyeto ni kwamba ana nyota ya kupendwa tu lakini hatuna beki pale Click to expand... Kwa Afrika Mashariki na kati hakuna beki anayefikia ubora wa Mwamnyeto.
ngajapo said: mi nimeongea mara nyingi sana kwenye hili jukwaa: mwamyeto ni kwamba ana nyota ya kupendwa tu lakini hatuna beki pale Click to expand... Kwa Afrika Mashariki na kati hakuna beki anayefikia ubora wa Mwamnyeto.
Idiot Embicile JF-Expert Member Joined Apr 30, 2019 Posts 1,037 Reaction score 1,974 Jan 30, 2021 #25 Mtu mwenyewe anaitwa Nyeto, unategemea nini?