Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Naam, wale waliosema chama cha Kichaga, sijui chama kilichokufa! Walete akili zao huku waone! We are moving mountains.
Policcm mkae mguu sasa
Policcm mkae mguu sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliona humu ikiwekwa na Salary Slip ila wanoko wakaifuta !Naam, wale waliosema chama cha Kichaga, sijui chama kilichokufa! Walete akili zao huku waone! We are moving mountains.
😆😆😆Safi Sana. People's .........
CCM itikieni:
Mods sometimes hawaelewiki na ninakumbuka niliweka Jukwaa la siasa.Niliona humu ikiwekwa na Salary Slip ila wanoko wakaifuta !
Wewe ni Mwendawazimu sana sanahuyo ni mwanamke? au mwanaume? hata photoshop mnaringa nazo?
Acha uvivu, twitter link hio hapo... ni kwenye tukio gani, wapi, na lini? Mhusika (mbeba bendera) ni nani?
Hapo napo ni Photoshop? Usijitie ujuaji wewe simblisihuyo ni mwanamke? au mwanaume? hata photoshop mnaringa nazo?
Takwimu mpya inaelekeza kwamba 95% ya Watanzania wanaipenda ChademaJamaa wa chuga huyu anaipenda Chadema mwanzo mwisho
HahahahaahahaaaaTakwimu mpya inaelekeza kwamba 95% ya Watanzania wanaipenda Chadema
Kasome tu pale hakuna shidaHuyu jamaa kashinda mbio gani?
maana ni reggae musician na mchacharikaji mzuri tu ulaya na pale Arusha
tuwe na facts aisee
MPE kijambio ataprove sex yake. Au nakoseahuyo ni mwanamke? au mwanaume? hata photoshop mnaringa nazo?
Shenz mwenyewe,mmezoea kubambika watu kesi.Watu wanajitambua wananjia mbalimbali za kujikwamua.Shenzi sana...akifika tu uwanja wa ndege akamatwe apewe kesi ya uhujumu...